WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Tuesday, May 28, 2019

KATIBU WA BUNGE ATEMBELEWA NA MKURUGENZI UNDP

Katibu wa Bunge, Ndugu Stephen Kagaigai akizungumza na Kaimu Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Bi Verity Nyagah alipomtembelea ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. Mkurugenzi huyo aliambatana na viongozi mbalimbali wanaosimamia Mradi wa Kulijengea Bunge Uwezo (LSP)

Katibu wa Bunge, Ndugu Stephen Kagaigai akizungumza na Kaimu Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Bi Verity Nyagah alipomtembelea ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. Mkurugenzi huyo aliambatana na viongozi mbalimbali wanaosimamia Mradi wa Kulijengea Bunge Uwezo (LSP)

Katibu wa Bunge, Ndugu Stephen Kagaigai akizungumza na Kaimu Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Bi Verity Nyagah alipomtembelea ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.

No comments:

Post a Comment