WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Saturday, August 31, 2019

SPIKA AONGOZA KIKAO CHA BODI YA UWEKEZAJI YA CPA KANDA YA AFRIKA

Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (katikati) akiongoza kikao cha Bodi ya Uwekezaji ya Chama cha Mabunge ya Nchi za Jumuiya ya Madola (CPA), Kanda ya Afrika kilichofanyika katika Hotel ya Manidat AL Bahr Business and Spa Hotel. Kushoto ni Mhe. Elijah Okupa Mhasibu Msaidizi na Katibu wa CPA Kanda ya ya Afrika, Ndugu Stephen Kagaigai.


Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (wa kwanza kushoto) akiongoza kikao cha Bodi ya Uwekezaji ya Chama cha Mabunge ya Nchi za Jumuiya ya Madola (CPA), Kanda ya Afrika kilichofanyika katika Hotel ya Manidat AL Bahr Business and Spa Hotel. Katikati ni Katibu wa CPA Kanda ya Afrika, Ndugu Stephen Kagaigai na Ndugu Said Yakubu Katibu Msaidizi wa CPA Afrika




Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (katikati) akiongoza kikao cha Bodi ya Uwekezaji ya Chama cha Mabunge ya Nchi za Jumuiya ya Madola (CPA), Kanda ya Afrika kilichofanyika katika Hotel ya Manidat AL Bahr Business and Spa Hotel.

No comments:

Post a Comment