WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Tuesday, September 3, 2019

MAKATIBU MEZANI CPA WAFANYA MKUTANO MKUU WA MWAKA

Mwenyekiti wa Chama cha Makatibu Mezani cha Mabunge ya  Nchi za Jumuiya ya Madola (SoCATT), ambaye pia ni Katibu wa Bunge la Zambia,  Ndugu Cesilia Mbewe  akizungumza katika Mkutano wa Mwaka wa chama hicho uliofanyika katika Hoteli ya Madinat Al Bahr Visiwani Zanzibar. Kulia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho, Ndugu Michael Sialai na kushoto ni Katibu Mezani wa Bunge la Zambia, Ndugu Elsio Simpamba.

Wajumbe wa  Chama cha Makatibu Mezani cha Mabunge ya Nchi za Jumuiya ya Madola (SoCATT), wakiwa katika Mkutano wa Mwaka wa chama hicho uliofanyika katika Hoteli ya Madinat Al Bahr Visiwani Zanzibar.



wajumbe wa SoCATT wakiwa katika mkutano

No comments:

Post a Comment