Kaimu Mkurugenzi wa Benki ya NMB, Ndugu Ruth Zaipuna akizungumza katika kikao cha Kamati ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC), kilichofanyika Bungeni Jijini Dodoma.kamati hiyo ilikutana na uongozi wa Benki hiyo kwa ajili ya kupokea taarifa ya uwekezaji uliofanywa na Serikali katika Benki hiyo.Kulia ni Mwenyekiti wa Bodi ya Benki ya NMB, Profesa Joseph Semboja.
|
No comments:
Post a Comment