WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Friday, January 17, 2020

KAMATI YA PIC YAKUTANA NA UONGOZI WA BENKI YA NMB

Mwenyekiti wa kamati ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC), Dkt. Raphael Chegeni akizungumza katika kikao cha kamati Bungeni Jijini Dodoma.kamati hiyo ilikutana na uongozi wa Benki ya NMB kwa ajili ya kupokea taarifa ya uwekezaji uliofanywa na Serikali katika Benki hiyo.


Wajumbe wa Kamati ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC), wakiwa katika kikao cha kamati Bungeni Jijini Dodoma.kamati hiyo ilikutana na uongozi wa Benki ya NMB kwa ajili ya kupokea taarifa ya uwekezaji uliofanywa na Serikali katika Benki hiyo.Pembeni yake ni Katibu wa Kamati, Elieka Saanya.

Mwenyekiti wa Bodi ya Benki ya NMB, Profesa Joseph Semboja akizungumza katika kikao cha Kamati ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC), kilichofanyika Bungeni Jijini Dodoma.kamati hiyo ilikutana na uongozi wa Benki hiyo kwa ajili ya kupokea taarifa ya uwekezaji uliofanywa na Serikali katika Benki hiyo.kushoto ni Kaimu Mkurugenzi  Ndugu Ruth Zaipuna.

Kaimu Mkurugenzi wa Benki ya NMB, Ndugu Ruth Zaipuna akizungumza katika kikao cha Kamati ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC), kilichofanyika Bungeni Jijini Dodoma.kamati hiyo ilikutana na uongozi wa Benki hiyo kwa ajili ya kupokea taarifa ya uwekezaji uliofanywa na Serikali katika Benki hiyo.Kulia ni Mwenyekiti wa Bodi ya Benki ya NMB, Profesa Joseph Semboja.


No comments:

Post a Comment