WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Friday, November 20, 2020

MAFUNZO YA WAHESHIMIWA WABUNGE WA BUNGE LA 12 YAHITIMISHWA BUNGENI DODOMA

Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (wa kwanza kushoto)  akihitimisha mafunzo ya Waheshimiwa Wabunge wa Bunge la 12 leo Bungeni Dodoma. Katikati ni Naibu Spika, Dkt. Tulia Ackson na Kulia ni Katibu wa Bunge, Ndg. Stephen Kagaigai.


Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, (CAG) Ndg. Charles Kichere akitoa mada wakati wa mafunzo kwa Waheshimiwa Wabunge yaliyohitimishwa leo Bungeni Dodoma. 


Msemaji Mkuu wa Serikali na Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo, Dkt. Hassan Abbasi akitoa mada wakati wa mafunzo kwa Waheshimiwa Wabunge yaliyohitimishwa leo Bungeni Dodoma.


Kamishna Mkuu wa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, Jaji Jaji (Mst.) Harold Nsekela akitoa mada wakati wa mafunzo kwa Waheshimiwa Wabunge yaliyohitimishwa leo Bungeni Dodoma.


Katibu Mstaafu wa Bunge, Dkt. Thomas Kashililah akitoa mada wakati wa mafunzo kwa Waheshimiwa Wabunge yaliyohitimishwa leo Bungeni Dodoma.


Mhasibu Mkuu-Ofisi ya Bunge, Ndg. Layson Mwanjisi akitoa mada wakati wa mafunzo kwa Waheshimiwa Wabunge.

 

Mkurugenzi wa Idara ya Shughuli za Bunge-Ofisi ya Bunge, Bi. Nenelwa Mwihambi akitoa mada wakati wa mafunzo kwa Waheshimiwa Wabunge.

 

Mkurugenzi wa Idara ya Kamati za Bunge-Ofisi ya Bunge, Ndg. Athuman Hussein akitoa mada wakati wa mafunzo kwa Waheshimiwa Wabunge.

 


 Mkurugenzi wa Idara ya Raslimali Watu-Ofisi ya Bunge, Bi. Jane Kajiru akitoa mada wakati wa mafunzo kwa Waheshimiwa Wabunge.

 



No comments:

Post a Comment