Spika wa Bunge, Mhe.
Job Ndugai (wa kwanza kushoto) akihitimisha mafunzo ya Waheshimiwa Wabunge wa
Bunge la 12 leo Bungeni Dodoma. Katikati ni Naibu Spika, Dkt. Tulia Ackson na
Kulia ni Katibu wa Bunge, Ndg. Stephen Kagaigai.
Mdhibiti na Mkaguzi
Mkuu wa Hesabu za Serikali, (CAG) Ndg. Charles Kichere akitoa mada wakati wa
mafunzo kwa Waheshimiwa Wabunge yaliyohitimishwa leo Bungeni Dodoma.
Msemaji
Mkuu wa Serikali na Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo, Dkt. Hassan
Abbasi akitoa mada wakati wa mafunzo kwa Waheshimiwa Wabunge yaliyohitimishwa
leo Bungeni Dodoma.
Kamishna Mkuu wa
Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, Jaji Jaji (Mst.) Harold Nsekela akitoa
mada wakati wa mafunzo kwa Waheshimiwa Wabunge yaliyohitimishwa leo Bungeni
Dodoma.
Katibu Mstaafu wa
Bunge, Dkt. Thomas Kashililah akitoa mada wakati wa mafunzo kwa Waheshimiwa
Wabunge yaliyohitimishwa leo Bungeni Dodoma.
Mhasibu
Mkuu-Ofisi ya Bunge, Ndg. Layson Mwanjisi akitoa mada wakati wa mafunzo kwa Waheshimiwa
Wabunge.
Mkurugenzi
wa Idara ya Shughuli za Bunge-Ofisi ya Bunge, Bi. Nenelwa Mwihambi akitoa mada wakati
wa mafunzo kwa Waheshimiwa Wabunge.
Mkurugenzi
wa Idara ya Kamati za Bunge-Ofisi ya Bunge, Ndg. Athuman Hussein akitoa mada wakati
wa mafunzo kwa Waheshimiwa Wabunge.
Mkurugenzi wa Idara ya Raslimali Watu-Ofisi ya Bunge, Bi. Jane Kajiru akitoa mada wakati wa mafunzo kwa Waheshimiwa Wabunge.
No comments:
Post a Comment