Spika wa Bunge, Mhe.
Job Y. Ndugai (katikati) akiongoza kikao cha mafunzo ya Waheshimiwa Wabunge
yanaoendelea Bungeni Jijini Dodoma. Kushoto
ni Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson na kulia ni Katibu wa Bunge, Stephen Kagaigai.
Naibu
Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akizungumza
wakati wa mafunzo ya Waheshimiwa Wabunge
yanaoendelea Bungeni Jijini Dodoma. Kulia
ni Katibu wa Bunge, Stephen Kagaigai.
Spika Mstaafu wa Bunge, Mhe. Anne Makinda akitoa mada wakati wa mafunzo ya Waheshimiwa Wabunge yanaoendelea Bungeni Jijini Dodoma.
Katibu Mkuu wa
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Brigedia
Jenerali, Wilbert Ibuge akitoa mada wakati wa mafunzo ya Waheshimiwa Wabunge
yanaoendelea Bungeni Jijini Dodoma.
Waheshimiwa Wabunge
wakiendelea na Mafunzo Bungeni Jijini Dodoma
No comments:
Post a Comment