WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Tuesday, November 17, 2020

MATUKIO KATIKA PICHA MAFUNZO YA WAHESHIMIWA WABUNGE YAKIENDELEA JIJINI DODOMA

Spika wa Bunge, Mhe. Job Y. Ndugai (katikati) akiongoza kikao cha mafunzo ya Waheshimiwa Wabunge yanaoendelea  Bungeni Jijini Dodoma. Kushoto ni Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson  na kulia ni Katibu wa Bunge, Stephen Kagaigai.

Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson  akizungumza wakati wa  mafunzo ya Waheshimiwa Wabunge yanaoendelea  Bungeni Jijini Dodoma. Kulia ni Katibu wa Bunge, Stephen Kagaigai.

Spika Mstaafu wa Bunge, Mhe. Pius Mswekwa akitoa mada wakati wa mafunzo ya Waheshimiwa Wabunge yanaoendelea  Bungeni Jijini Dodoma.

 Spika Mstaafu wa Bunge, Mhe. Anne Makinda akitoa mada wakati wa  mafunzo ya Waheshimiwa Wabunge yanaoendelea  Bungeni Jijini Dodoma.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Brigedia Jenerali, Wilbert Ibuge akitoa mada wakati wa  mafunzo ya Waheshimiwa Wabunge yanaoendelea  Bungeni Jijini Dodoma.

Waheshimiwa Wabunge wakiendelea na Mafunzo Bungeni Jijini Dodoma

 

No comments:

Post a Comment