WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Friday, November 13, 2020

RAIS DKT. MAGUFULI AHUTUBIA NA KUFUNGUA RASMI BUNGE LA 12



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akilihutubia na kulifungua rasmi Bunge la 12. Kulia ni Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai na kushoto ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akilihutubia na kulifungua rasmi Bunge la 12. Kulia ni Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai na kushoto ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia na kulifungua rasmi Bunge la 12.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. 

John Pombe Magufuli (katikati) na Makamu wa  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan (wa pili kushoto) wakiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa Bunge mara baada ya kulihutubia na kulifungua Bunge la 12 Wa pili kulia ni Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai, Naibu Spika, Dkt. Tulia Ackson (kushoto) na Katibu wa Bunge, Ndg. Stephen Kagaigai

Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Spika wa Bunge la Afrika Masharikia, Martin Ngoga (kushoto) na Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Mhe. Zubeir Ali Maulid mara baada ya kumaliza ya ufunguzi wa Bunge la 12.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe

 John Pombe Magufuli (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Rais wa awamu ya Pili, Mhe. Ali Hassan Mwinyi (kushoto) na Rais wa awamu ya Nne, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete (kulia).


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe.

 John Pombe Magufuli (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Mhe. Hussein Ali Mwinyi (wa pili kulia), Rais wa awamu ya Pili, Mhe. Ali Hassan Mwinyi (kushoto) na Rais wa awamu ya Nne, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete (kulia)


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. John Pombe Magufuli (katikati) katika picha na Waheshimiwa Wabunge. 


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. John Pombe Magufuli (katikati) katika picha na Waheshimiwa Wabunge. 

Bofya hapa kusoma HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI, WAKATI WA KUFUNGUA RASMI BUNGE LA 12 LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA DODOMA, 13 NOVEMBA 2020 

No comments:

Post a Comment