WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Monday, March 29, 2021

KAMATI YA UONGOZI YA BUNGE YAKUTANA KAMA SEHEMU YA MAANDALIZI YA KUANZA KWA MKUTANO WA TATU WA BUNGE LA KUMI NA MBILI

Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai akiongoza kikao cha Kamati ya Uongozi ya Bunge hii leo kama sehemu ya maandalizi ya kuanza kwa Vikao vya Mkutano wa tatu wa Bunge la Kumi na mbili vinavyotarajiwa kuanza siku ya Jumanne tarehe 30 Machi, 2021 Jijini Dodoma. 

Wajumbe wa Kamati ya Uongozi ya Bunge wakifuatilia jambo kwenye Kikao cha Kamati hiyo kilichokaa hii leo kama sehemu ya maandalizi ya kuanza kwa Vikao vya Mkutano wa tatu wa Bunge la Kumi na mbili vinavyotarajiwa kuanza siku ya Jumanne tarehe 30 Machi, 2021 Jijini Dodoma. 

Wajumbe wa Kamati ya Uongozi ya Bunge wakifuatilia jambo kwenye Kikao cha Kamati hiyo kilichokaa hii leo kama sehemu ya maandalizi ya kuanza kwa Vikao vya Mkutano wa tatu wa Bunge la Kumi na mbili vinavyotarajiwa kuanza siku ya Jumanne tarehe 30 Machi, 2021 Jijini Dodoma. 


No comments:

Post a Comment