WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Monday, March 22, 2021

WABUNGE WAKIMLILIA HAYATI DKT. MAGUFULI WAKATI WAKIAGA MWILI WAKE KATIKA VIWANJA VYA BUNGE JIJINI DODOMA

Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (anayetangulia),  pamoja na Msafara wake wakiwasili katika vya Bunge kwa ajili ya Shughuli ya Waheshimiwa Wabunge ya  kuaga mwili wa aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Dkt. John Pombe Magufuli katika viwanja vya Bunge Jijini Dodoma.

Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akizungumza wakati wa Shughuli ya Waheshimiwa Wabunge ya  kuaga mwili wa aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Dkt. John Pombe Magufuli katika viwanja vya Bunge Jijini Dodoma.

Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai na Mke wake, Dkt. Fatma Mganga wakiweka shada la maua katika Jeneza lenye  mwili wa aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa Shughuli ya Waheshimiwa Wabunge ya  kuaga mwili huo katika viwanja vya Bunge Jijini Dodoma.

Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai na Mke wake, Dkt. Fatma Mganga wakitoa heshima za mwisho katika jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa Shughuli ya Waheshimiwa Wabunge ya  kuaga mwili huo katika viwanja vya Bunge Jijini Dodoma.

 



Naibu Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson akizungumza wakati wa Shughuli ya Waheshimiwa Wabunge ya  kuaga mwili wa aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Dkt. John Pombe Magufuli katika viwanja vya Bunge Jijini Dodoma.
Katibu wa Bunge akiweka shada la maua katika Jeneza lenye  mwili wa aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa Shughuli ya Waheshimiwa Wabunge ya  kuaga mwili huo katika viwanja vya Bunge Jijini Dodoma.

Waheshimiwa Wabunge wakimlilia aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa Shughuli ya kumuaga katika viwanja vya Bunge Jijini Dodoma.

 

Waheshimiwa Wabunge wakimlilia aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa Shughuli ya kumuaga katika viwanja vya Bunge Jijini Dodoma.

 

Waheshimiwa Wabunge wakimlilia aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa Shughuli ya kumuaga katika viwanja vya Bunge Jijini Dodoma.

 

Waheshimiwa Wabunge wakimlilia aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa Shughuli ya kumuaga katika viwanja vya Bunge Jijini Dodoma.

 

Waheshimiwa Wabunge wakimlilia aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa Shughuli ya kumuaga katika viwanja vya Bunge Jijini Dodoma.

 

Waheshimiwa Wabunge wakimlilia aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa Shughuli ya kumuaga katika viwanja vya Bunge Jijini Dodoma.

 

Waheshimiwa Wabunge wakimlilia aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa Shughuli ya kumuaga katika viwanja vya Bunge Jijini Dodoma.

 

Waheshimiwa Wabunge wakimlilia aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa Shughuli ya kumuaga katika viwanja vya Bunge Jijini Dodoma.

 

Waheshimiwa Wabunge wakimlilia aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa Shughuli ya kumuaga katika viwanja vya Bunge Jijini Dodoma.

 

 


 

No comments:

Post a Comment