WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Thursday, April 22, 2021

PICHA: RAIS SAMIA SULUHU HASSAN ALIHUTUBIA TAIFA KUPITIA BUNGE LA 12 BUNGENI JIJINI DODOMA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akilihutubia Taifa kupitia Bunge la 12 Jijini Dodoma. 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akilihutubia Taifa kupitia Bunge la 12 Jijini Dodoma.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akitoka katika ukumbi wa Bunge mara baada ya kulihutubuia Taifa kupitia Bunge la 12 Jijini Dodoma. Mbele ya Mhe. Rais ni Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan (katikati) katika  picha ya pamoja na Rais wa Awamu ya Pili, Mhe. Ali Hassan Mwinyi (kushoto) na Rais wa awamu ya Nne, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete nje ya Ukumbi wa Bunge mara baada ya kulihutubuia Taifa kupitia Bunge la 12 Jijini Dodoma.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) na Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Mhe. Zubeir Ali Maulid nje ya  ukumbi wa Bunge mara baada ya kulihutubuia Taifa kupitia Bunge la 12 Jijini Dodoma.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan katika picha ya pamoja na kuanzia kushoto Jaji Mkuu wa Tanzania, Prof. Ibrahim Juma, Spika wa Bunge la Tanzania, Mhe. Job Ndugai, SSpika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Mhe. Zubeir Ali Maulid na Jaji Mkuu wa Zanzibar,  Omar Othman Makungu nje ya ukumbi wa Bunge mara baada ya kulihutubuia Taifa kupitia Bunge la 12 Jijini Dodoma.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan (katikati) katika  picha ya pamoja na Naibu Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson nje ya Ukumbi wa Bunge mara baada ya kulihutubuia Taifa kupitia Bunge la 12 Jijini Dodoma.
 

No comments:

Post a Comment