WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Friday, April 23, 2021

SPIKA NDUGAI ALIPOKUTANA NA KUZUNGUMZA NA BALOZI WA UINGEREZA NA UFARANSA KWA NYAKATI TOFAUTI OFISINI KWAKE JIJINI DODOMA







Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akizungumza na Balozi wa Uingereza nchini Tanzania, Mhe. David Concar alipomtembelea leo ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.

Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai katika picha ya  na Balozi wa Uingereza nchini Tanzania, Mhe. David Concar mara baada ya kuzungumza naye ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akisalimiana na Balozi wa Ufaransa nchini Tanzania, Mhe. Frederic Clavier alipomtembelea  ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.

Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akizungumza na Balozi wa Ufaransa nchini Tanzania, Mhe. Frederic Clavier  ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.

 

No comments:

Post a Comment