WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Wednesday, February 16, 2022

SPIKA DKT. TULIA AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA CANADA NCHINI

Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (Mb), akizungumza na ugeni kutoka Ubalozi wa Canada wakiongozwa na Balozi wa Canada nchini, Mhe. Pamela O’Donell (kushoto kwake) walipomtembelea leo ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. Februari 16, 2022


Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (Mb), akizungumza na Balozi wa Canada nchini, Mhe. Pamela O’Donell alipomtembelea leo ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. Februari 16, 2022


Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (Mb), akionyesha zawadi aliyopewa na Balozi wa Canada nchini, Mhe. Pamela O’Donell (kulia) alipomtembelea leo ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. Februari 16, 2022



Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (Mb), katika picha ya pamoja na Balozi wa Canada nchini, Mhe. Pamela O’Donell alipomtembelea leo ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. Februari 16, 2022

Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (Mb), akiteta jambo na Balozi wa Canada nchini, Mhe. Pamela O’Donell alipomtembelea leo ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. Februari 16, 2022



 Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson Mb, (katikati) katika picha ya pamoja na ugeni kutoka Ubalozi wa Canada wakiongozwa na Balozi wa Canada nchini, Mhe. Pamela O’Donell (wapili kushoto) walipomtembelea leo ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. Februari 16, 2022


No comments:

Post a Comment