WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Wednesday, February 16, 2022

WAJUMBE TWPG WAKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA CANADA NCHINI TANZANIA


Mwenyekiti Umoja wa Wabunge Wanawake Tanzania (TWPG), Mhe. Shally Raymond akizungumza na ugeni kutoka Ubalozi wa Canada ukiongozwa na Balozi wa Canada nchini Tanzania, Mhe. Pamela O’Donell (kulia) pamoja na Wajumbe wa TWPG kikao kilichofanyika leo katika ofisi za Bunge Jijini Dodoma, Februari 16, 2022



Balozi wa Canada nchini Tanzania, Mhe. Pamela O’Donell (wanne kulia) katika picha ya pamoja na Wajumbe wa Umoja wa Wabunge Wanawake Tanzania (TWPG) nje ya Ukumbi wa Bunge Jijini Dodoma, Februari 16, 2022, katikati ni Mwenyekiti wa Umoja wa Wabunge Wanawake Tanzania (TWPG), Mhe. Shally Raymond


 

Balozi wa Canada nchini, Mhe. Pamela O’Donell (katikati) pamoja na Wajumbe wa Umoja wa Wabunge Wanawake Tanzania (TWPG) wakionyesha ishara ya furaha, amani na mshikmano nje ya Ukumbi wa Bunge Jijini Dodoma, Februari 16, 2022, watano kulia ni Mwenyekiti wa Umoja wa Wabunge Wanawake Tanzania (TWPG), Mhe. Shally Raymond

No comments:

Post a Comment