WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Monday, March 28, 2022

KAMATI YA BUNGE YA PAC IMETEMBELEA CHUO CHA UALIMU VIKINDU NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI NA UKARABATI WA CHUO HICHO

Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) wakiongozwa na Makamu Mwenyekiti wa Kamati, Mheshimiwa Japhet Hasunga wakiangalia kisima cha maji katika Chuo cha Ualimu Vikindu wakati Kamati hiyo ilipotembelea na kukagua mradi wa ujenzi na ukarabati wa Chuo hicho
Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) Mheshimiwa Japhet Hasunga akizungumza wakati Kamati hiyo ilipokuwa inakagua ujenzi wa mabweni katika Chuo cha Ualimu Vikindu, Kamati ya PAC imetembelea Chuo hicho na kukagua mradi wa ujenzi na ukarabati wa Chuo hicho

Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) Mheshimiwa Japhet Hasunga akivalishwa skafu na kijana wa skauti wakati kamati hiyo ilipowasili katika Chuo cha Ualimu Vikindu na kukagua mradi wa ujenzi na ukarabati wa Chuo hicho

 

Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Profesa Eliamani Sedoyeka akizungumza katika kikao cha Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) na watendaji wa Chuo cha Ualimu Vikindu wakati kamati hiyo ilipotembelea Chuo hicho na kukagua mradi wa ujenzi na ukarabati wa majengo mbalimbali, katikati ni Makamu Mwenyekiti wa Kamati Mheshimiwa Japhet Hasunga na Mkuu wa Chuo Amina Tou 

No comments:

Post a Comment