WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Saturday, March 26, 2022

KAMATI YA PAC IMEKAGUA MRADI WA MAJI WA MAKONGO HADI BAGAMAYO UNAOTEKELEZWA NA DAWASA

Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Majisafi na usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA), Mhandisi Cyprian Luhemeja akiwaelezea wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) kuhusu ujenzi wa tenki la maji lililopo eneo la Tegeta A wakati wajumbe hao walipotembelea DAWASA na kukagua utekelezaji wa mradi wa maji wa Makongo hadi Bagamoyo

 

Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Majisafi na usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA), Mhandisi Cyprian Luhemeja akiwaonyesha wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) maeneo mbalimbali katika mradi wa tenki la maji lililopo eneo la Tegeta A wakati wajumbe hao walipotembelea DAWASA na kukagua utekelezaji wa mradi wa maji wa Makongo hadi Bagamoyo

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Majisafi na usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA), Jen.Mstaafu Davis Mwamunyange akizungumza katika kikao cha watendaji
wa mamlaka hiyo na wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), wakati Kamati hiyo ilipotembelea DAWASA na kukagua utekelezaji wa mradi wa maji wa Makongo hadi Bagamoyo, kulia ni Makamu Mwenyekiti wa Kamati, Mheshimiwa Japhet Hasunga
 
Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali(PAC), Mheshimiwa Japhet Hasunga akizungumza wakati kamati hiyo ilipokuwa inakagua ujenzi wa tenki la maji katika eneo la Tegeta A, Kamati ya PAC imetembelea Mamlaka ya Majisafi na usafi wa Mazingira Dar es Salaam  (DAWASA) na kukagua utekelezaji wa mradi wa maji wa Makongo hadi Bagamoyo

 

No comments:

Post a Comment