WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Friday, March 25, 2022

KAMATI YA PAC IMETEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA NYUMBA ZA MAKAZI ENEO LA MAGOMENI KOTA AWAMU YA II

Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Majengo (TBA), Arch. Daudi Kandoro akiwasilisha maelezo kuhusu mradi wa ujenzi wa nyumba za makazi eneo la Magomeni Kota Awamu ya II kwa wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) wakati wajumbe hao walipotembelea na kukagua mradi huo

Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Majengo (TBA), Arch. Saudi Kandoro akiwaelezea wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) kuhusu mradi wa ujenzi wa nyumba za makazi eneo la Magomeni Kota Awamu ya II wakati wajumbe hao walipotembelea na kukagua mradi huoMtendaji Mkuu wa Wakala wa Majengo (TBA), Arch. Daudi Kandoro akiwaonyesha wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) kuhusu mradi wa ujenzi wa nyumba za makazi eneo la Magomeni Kota Awamu ya I wakati wajumbe hao walipotembelea na kukagua mradi huo.



No comments:

Post a Comment