WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Thursday, March 31, 2022

SPIKA DKT. TULIA AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI MABONERO JIJINI DODOMA

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akizungumza na Balozi wa Uganda nchini Tanzania, Mhe. Richard Mabonero ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.

Balozi huyo amemtembela Mhe. Spika kwa lengo la kumuaga baada ya kumaliza muda wake wa kufanya kazi hapa nchini.



Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson katika picha ya pamoja na Balozi wa Uganda nchini Tanzania, Mhe. Richard Mabonero ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.

Balozi huyo amemtembela Mhe. Spika kwa lengo la kumuaga baada ya kumaliza muda wake wa kufanya kazi hapa nchini.

No comments:

Post a Comment