WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Thursday, March 31, 2022

WAJUMBE KAMATI YA KATIBA NA SHERIA WAPOKEA NA KUJADILI MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA KWA MWAKA WA FEDHA 2022/2023

Wajumbe wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya katiba na Sheria wakiwa katika kikao cha kupokea na kujadili Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Katiba na Sheria kwa Mwaka wa Fedha 2022/2023 leo Machi 31, 2022 katika Ukumbi wa Msekwa Bungeni Jijini Dodoma.

Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya Bunge ya katiba na Sheria, Mhe. Dkt. Joseph Mhagama akiongoza kikao cha kupokea na kujadili Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Katiba na Sheria kwa Mwaka wa Fedha 2022/2023 leo Machi 31, 2022 katika Ukumbi wa Msekwa Bungeni Jijini Dodoma.


Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. George Simbachawene akijibu hoja Mbalimbali za Wajumbe wa kamati ya katiba na Sheria wakati wa kupokea na kujadili Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Katiba na Sheria kwa Mwaka wa Fedha 2022/2023 leo Machi 31, 2022 katika Ukumbi wa Msekwa Bungeni Jijini Dodoma.


Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Mhe. Jaji. Dkt. Eliezer Feleshi akijibu hoja Mbalimbali za Wajumbe wa kamati ya katiba na Sheria wakati wa kupokea na kujadili Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Katiba na Sheria kwa Mwaka wa Fedha 2022/2023 leo Machi 31, 2022 katika Ukumbi wa Msekwa Bungeni Jijini Dodoma. Kushoto kwake ni Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. George Simbachawene, Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria, Ndg. Mary Makondo na Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Geoffrey Pinda

No comments:

Post a Comment