WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Thursday, March 24, 2022

SPIKA DKT. TULIA ASHIRIKI KIKAO CHA BARAZA LA UONGOZI LA UMOJA WA MABUNGE DUNIANI (IPU)

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (Mb), akishiriki Kikao cha Baraza la Uongozi la Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) kilichopokea na kupitisha taarifa mbalimbali, taarifa ya Mkaguzi wa Ndani wa Fedha kwa Mwaka 2021, pamoja na Taarifa za kamati Mbalimbali ikiwemo taarifa ya kamati ya kudumu ya Haki za Binadamu kwa Wabunge, Majukwaa ya Wabunge Wanawake na Vijana. Kikao hicho kimefanyika leo Machi 24, 2022 katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano Bali nchini Indonesia wakati wa Mkutano wa 144 wa IPU.


Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (Mb), akishiriki Kikao cha Baraza la Uongozi la Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) kilichopokea na kupitisha taarifa mbalimbali, taarifa ya Mkaguzi wa Ndani wa Fedha kwa Mwaka 2021, pamoja na Taarifa za kamati Mbalimbali ikiwemo taarifa ya kamati ya kudumu ya Haki za Binadamu kwa Wabunge, Majukwaa ya Wabunge Wanawake na Vijana. Kikao hicho kimefanyika leo Machi 24, 2022 katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano Bali nchini Indonesia wakati wa Mkutano wa 144 wa IPU. Kuanzia kushoto ni Mhe. Dkt. Joseph Mhagama (Mjumbe wa Baraza la Uongozi), Balozi wa Tanzania nchini Malaysia, Mhe. Dkt. Ramadhani Dau, Mjumbe wa IPU, Mhe. Elibariki Kingu na Mjumbe wa Baraza la Uongozi, Mhe. Esther Matiko


Katibu Mkuu wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Ndg. Martin Chungong akizungumza wakati wa Kikao cha Baraza la Uongozi la Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) kilichopokea na kupitisha taarifa mbalimbali, taarifa ya Mkaguzi wa Ndani wa Fedha kwa Mwaka 2021, pamoja na Taarifa za kamati Mbalimbali ikiwemo taarifa ya kamati ya kudumu ya Haki za Binadamu kwa Wabunge, Majukwaa ya Wabunge Wanawake na Vijana. Kikao hicho kimefanyika leo Machi 24, 2022 katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano Bali nchini Indonesia wakati wa Mkutano wa 144 wa IPU. Wapili kulia ni Rais wa Umoja huo, Ndg. Duarte Pacheco

Wajumbe wa Baraza la Uongozi la Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) wakishiriki kikao cha kupokea na kupitisha taarifa mbalimbali, taarifa ya Mkaguzi wa Ndani wa Fedha kwa Mwaka 2021, pamoja na Taarifa za kamati Mbalimbali ikiwemo taarifa ya kamati ya kudumu ya Haki za Binadamu kwa Wabunge, Majukwaa ya Wabunge Wanawake na Vijana. Kikao hicho kimefanyika leo Machi 24, 2022 katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano Bali nchini Indonesia wakati wa Mkutano wa 144 wa IPU.


No comments:

Post a Comment