WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Tuesday, March 1, 2022

SPIKA DKT. TULIA AZUNGUMZA NA WANANCHI WA TUKUYU WILAYANI RUNGWE


Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (Mb), akizungumza na Wananchi wa Tukuyu Wilayani Rungwe Mkoani Mbeya katika Mkutano wa hadhara uliofanyika leo katika viwanja vya CCM Machi 1, 2022, Wananchi hao walimpongeza Mhe. Dkt. Tulia Ackson (Mb) kwa kuchaguliwa kwa kishindo kuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania



Wananchi wa Tukuyu Wilayani Rungwe wakimsikiliza Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, Mb (hayupo kwenye picha) akizungumza katika Mkutano wa hadhara uliofanyika leo katika viwanja vya CCM Mkoani Mbeya, Machi 1, 2022, Wananchi hao walimpongeza Mhe. Dkt. Tulia Ackson (Mb) kwa kuchaguliwa kwa kishindo kuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Mbunge wa Rungwe, Mhe. Anthony Mwantona akizungumza na Wananchi wa Tukuyu Wilayani Rungwe katika Mkutano wa hadhara uliofanyika leo katika viwanja vya CCM Mkoani Mbeya,  Machi 1, 2022



Mkuu wa Wilaya ya Rungwe, Mhe. Dkt. Vicent Anney akizungumza na Wananchi wa Tukuyu Wilayani Rungwe katika Mkutano wa hadhara uliofanyika leo katika viwanja vya CCM Mkoani Mbeya, Machi 1, 2022

 Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (Mb), akisalimiana na wananchi wa Tukuyu baada ya kuzungumza nao katika Mkutano wa hadhara uliofanyika leo viwanja vya CCM Wilayani Rungwe Mkoani Mbeya, Machi 1, 2022, Wananchi hao walimpongeza Mhe. Dkt. Tulia Ackson (Mb) kwa kuchaguliwa kwa kishindo kuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

No comments:

Post a Comment