Spika wa Bunge la
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (Mb), akizungumza na Naibu
Mnadhimu wa Kwanza wa Serikali Bungeni kutoka Bunge la Ghana, Mhe. Habib
Iddrissu (katikati) na Naibu Mnadhimu Mkuu wa kambi ya walio wachache kutoka
Bunge la Ghana, Mhe. Ahmed Ibrahim pale ugeni kutoka Bunge hilo ulipomtembelea
leo ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma, Mei
10, 2022
Spika wa Bunge la
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (Mb), akizungumza na ugeni
kutoka Bunge la Ghana ukiongozwa na Naibu Mnadhimu wa Kwanza wa Serikali
Bungeni, Mhe. Habib Iddrissu (kulia kwake) ulipomtembelea leo ofisini kwake Bungeni
Jijini Dodoma, Mei 10, 2022
Spika wa Bunge la
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (Mb), katika picha ya
pamoja na Naibu Mnadhimu wa Kwanza wa Serikali Bungeni kutoka Bunge la Ghana,
Mhe. Habib Iddrissu (kulia) alipomtembelea leo ofisini kwake Bungeni Jijini
Dodoma, Mei 10, 2022
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (katikati), katika picha ya pamoja na ugeni kutoka Bunge la Ghana ukiongozwa na Naibu Mnadhimu wa Kwanza wa Serikali Bungeni, Mhe. Habib Iddrissu (kulia kwake) ulipomtembelea leo ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma, Mei 10, 2022
No comments:
Post a Comment