WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Tuesday, July 12, 2022

SPIKA DKT. TULIA AKUTANA NA RAIS WA MALAWI JIJINI LILONGWE


Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akisalimiana na Rais wa Jamhuri ya Malawi, Mhe. Dkt. Lazarus Chakwera walipokutana katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Bingu Jijini Lilongwe nchini Malawi.

Mhe. Spika yupo nchini humo kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa 51 wa Jukwaa la Mabunge ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC – PF).


 Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akiwa katika picha ya pamoja na Rais wa Jamhuri ya Malawi, Mhe. Dkt. Lazarus Chakwera (katikati) na Spika wa Bunge la Malawi, Mhe. Catherine Gotani Hara (kulia) walipokutana katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Bingu Jijini Lilongwe nchini Malawi.

Mhe. Spika yupo nchini humo kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa 51 wa Jukwaa la Mabunge ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC – PF).

No comments:

Post a Comment