WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Wednesday, July 13, 2022

SPIKA DKT. TULIA AWAONGOZA WAJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE YA JUMUIYA YA MAENDELEO KUSINI MWA AFRIKA KUTOKA BUNGE LA TANZANIA KATIKA MKUTANO WA 51 WA SADC – PF NCHINI MALAWI














 Matukio katika Picha yaliyojiri leo Julai 13, 2022 wakati Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akiwaongoza Wajumbe wa Jukwaa la Mabunge ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC – PF) kutoka Bunge la Tanzania katika Mkutano wa 51 wa SADC – PF unaoendelea katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Bingu Jijini Lilongwe nchini Malawi.

No comments:

Post a Comment