WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Wednesday, September 14, 2022

SPIKA DKT. TULIA AFANYA MAZUNGUMZO NA NAIBU SPIKA WA PILI WA BUNGE LA GHANA, KIONGOZI WA UPINZANI BUNGE LA UGANDA

Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akisalimiana na Naibu Spika wa Pili wa Bunge la Ghana, Mhe. Andrew Amoako pale Wageni kutoka Bunge hilo walipomtembelea leo tarehe 14 Septemba, 2022 Bungeni Jijini Dodoma.


Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akizungumza na Naibu Spika wa Pili wa Bunge la Ghana, Mhe. Andrew Amoako pale Wageni kutoka Bunge hilo walipomtembelea leo tarehe 14 Septemba, 2022 Bungeni Jijini Dodoma.


Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akizungumza na Wageni kutoka Bunge la Ghana wakiongozwa na Naibu Spika wa Pili wa Bunge, Mhe. Andrew Amoako (kulia kwake) walipomtembelea leo tarehe 14 Septemba, 2022 Bungeni Jijini Dodoma.


Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akimpatia zawadi yenye mfano wa jengo la Bunge Naibu Spika wa Pili wa Bunge la Ghana, Mhe. Andrew Amoako pale Wageni kutoka Bunge hilo walipomtembelea leo tarehe 14 Septemba, 2022 Bungeni Jijini Dodoma.


Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akizungumza na Kiongozi wa Upinzani kutoka Bunge la Uganda, Mhe. Mpuuga Mathias pale Waheshimiwa Wabunge kutoka Bunge hilo walipomtembelea leo tarehe 14 Septemba, 2022 Bungeni Jijini Dodoma.


Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akizungumza na Waheshimiwa Wabunge kutoka Bunge la Uganda wakiongozwa na Kiongozi wa Upinzani wa Bunge, Mhe. Mpuuga Mathias (kulia kwake) walipomtembelea leo tarehe 14 Septemba, 2022 Bungeni Jijini Dodoma.


Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akiwa katika picha ya pamoja na Kiongozi wa Upinzani kutoka Bunge la Uganda, Mhe. Mpuuga Mathias pale Waheshimiwa Wabunge kutoka Bunge hilo walipomtembelea leo tarehe 14 Septemba, 2022 Bungeni Jijini Dodoma.



Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Waheshimiwa Wabunge kutoka Bunge la Uganda wakiongozwa na Kiongozi wa Upinzani wa Bunge, Mhe. Mpuuga Mathias (kulia kwake) walipomtembelea leo tarehe 14 Septemba, 2022 Bungeni Jijini Dodoma.

No comments:

Post a Comment