WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Thursday, September 15, 2022

SPIKA DKT. TULIA AFANYA MAZUNGUMZO NA MABALOZI WA NCHI ZA UMOJA WA ULAYA BUNGENI JIJINI DODOMA

Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akizungumza na Balozi wa Umoja wa Ulaya, Mhe. Manfredo Fanti pale ugeni kutoka Mabalozi wa Nchi za Umoja wa Ulaya walipomtembelea leo tarehe 15 Septemba, 2022 Bungeni Jijini Dodoma.



Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akizungumza na Mabalozi wa Nchi za Umoja wa Ulaya wakiongozwa na Balozi wa Umoja huo, Mhe. Manfredo Fanti (kulia kwake) walipomtembelea leo tarehe 15 Septemba, 2022 Bungeni Jijini Dodoma.


Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akionyesha zawadi ya vitabu alivyopewa na Balozi wa Umoja wa Ulaya, Mhe. Manfredo Fanti pale ugeni wa Mabalozi wa Nchi za Umoja wa Ulaya walipomtembelea leo tarehe 15 Septemba, 2022 Bungeni Jijini Dodoma.



Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akiwa katika picha ya pamoja na Mabalozi wa Nchi za Umoja wa Ulaya wakiongozwa na Balozi wa Umoja huo, Mhe. Manfredo Fanti (kulia kwake) walipomtembelea leo tarehe 15 Septemba, 2022 Bungeni Jijini Dodoma.

No comments:

Post a Comment