WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Wednesday, September 21, 2022

SPIKA DKT. TULIA AFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA JAPAN NCHINI TANZANIA

Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akisalimiana na Balozi wa Japan nchini Tanzania ambaye pia ni Mwakilishi wa Japan katika Jumuiya ya Afrika Mashariki, Mhe. Yusushi Misawa alipomtembelea leo tarehe 21 Septemba, 2022 Bungeni Jijini Dodoma.





Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akizungumza na Balozi wa Japan nchini Tanzania ambaye pia ni Mwakilishi wa Japan katika Jumuiya ya Afrika Mashariki, Mhe. Yusushi Misawa alipomtembelea leo tarehe 21 Septemba, 2022 Bungeni Jijini Dodoma.



Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akimpatia zawadi yenye mfano wa jengo la Bunge Balozi wa Japan nchini Tanzania ambaye pia ni Mwakilishi wa Japan katika Jumuiya ya Afrika Mashariki, Mhe. Yusushi Misawa alipomtembelea leo tarehe 21 Septemba, 2022 Bungeni Jijini Dodoma.


Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Japan nchini Tanzania ambaye pia ni Mwakilishi wa Japan katika Jumuiya ya Afrika Mashariki, Mhe. Yusushi Misawa alipomtembelea leo tarehe 21 Septemba, 2022 Bungeni Jijini Dodoma. 

No comments:

Post a Comment