WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Monday, October 3, 2022

SPIKA WA BUNGE LA TANZANIA AMUAPISHA MBUNGE MTEULE MHE. ANGELLAH KAIRUKI JIJINI DAR-ES-SALAAM

Mhe. Angellah Kairuki (Mb) akiapa katika ofisi ndogo ya Bunge Jijini Dar-es-salaam.

Spikawa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Tulia Ackson (Mb) akishuhudia Mhe. Angellah Kairuki (Mb) akiweka saini mara baada ya kuapishwa katika ofisi ndogo ya Bunge Jijini Dar-es-salaam.



 Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe, Dkt. Tulia Ackson (Mb) amuapisha Mhe. Angellah Kairuki (Mb) aliyeteuliwa na Mheshimiwa Rais Mhe. Samia S. Hassan jana tarehe 02 Oktoba 2022

No comments:

Post a Comment