WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Friday, January 19, 2024

KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA VIWANDA, BIASHARA, KILIMO NA MIFUGO YAPOKEA NA KUJADILI TAARIFA YA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA














Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara na Kilimo yapokea na kujadili taarifa ya Wizara ya Viwanda na Biashara kuhusu utekelezaji wa Bajeti kwa kipindi cha Julai hadi Desemba 2023; na Utekelezaji wa Maazimio ya Bunge yaliyotokana na taarifa ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara na Mazingira kuhusu Shughuli za Kamati kwa Mwaka 2022 iliyowasilishwa wakati wa Mkutano wa Kumi wa Bunge Jijini Dodoma.

No comments:

Post a Comment