WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Wednesday, January 31, 2024

SPIKA DKT. TULIA AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA UONGOZI BUNGENI JIJINI DODOMA


















Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akiongoza kikao cha kamati ya uongozi kilichopokea na kujadili mapendekezo ya ratiba ya Mkutano wa kumi na nne wa Bunge kilichofanyika katika Ukumbi wa Spika Bungeni Jijini Dodoma.

No comments:

Post a Comment