WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Wednesday, January 31, 2024

SPIKA DKT. TULIA AFANYA MAZUNGUMZO NA MKURUGENZI MTENDAJI WA BENKI YA AZANIA JIJINI DODOMA

Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, akizungumza na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Azania, Ndg. Esther Mang’enya alipotembelea ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma leo tarehe 31 Januari, 2024.

 

Pamoja na mambo mengine, Dkt. Tulia ameipongeza Benki hiyo kwa namna ambavyo imekuwa ikishiriki vyema katika kusaidia jamii na kuongeza kasi ya maendeleo nchini.


Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, akizungumza na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Azania, Ndg. Esther Mang’enya alipotembelea ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma leo tarehe 31 Januari, 2024. Kulia ni Mkurugenzi wa Maendeleo ya Biashara wa Benki hiyo, Dkt. Rhimo Nyansaho.

 

Pamoja na mambo mengine, Dkt. Tulia ameipongeza Benki hiyo kwa namna ambavyo imekuwa ikishiriki vyema katika kusaidia jamii na kuongeza kasi ya maendeleo nchini.


Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Tulia Ackson, akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi wa Benki ya Azania wakiongozwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo, Ndg. Esther Mang’enya (wa pili kushoto) baada ya mazungumzo yaliyofanyika ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma leo tarehe 31 Januari, 2024.

 

Pamoja na mambo mengine, Dkt. Tulia ameipongeza Benki hiyo kwa namna ambavyo imekuwa ikishiriki vyema katika kusaidia jamii na kuongeza kasi ya maendeleo nchini.

 

 

No comments:

Post a Comment