Tuesday, September 5, 2017
Thursday, August 31, 2017
CAG atoa semina kwa Kamati ya Bunge ya Bajeti
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Mussa
Assad akiwasilisha mada kwa Kamati ya Bunge ya Bajeti katika semina
iliyohusu Ripoti za CAG kuhusu kaguzi za taarifa za fedha kwa mwaka
ulioshia tarehe 30 Juni, 2016. Semin hiyo imefanyika katika Ofisi Ndogo za Bunge Jijini Dar es Salaam.
Wednesday, August 30, 2017
KAMATI YA BUNGE YA BAJETI YAENDELEA NA ZIARA YAKE KATIKA CHUO CHA KODI NA CHUO CHA UHASIBU
| Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Bajeti wakiwa katika picha ya pamoja na uongozi wa Chuo cha Kodi wakati Kamati hiyo ilipofanya ziara katika chuo hicho Jijini Dar es Salaam. |
Tuesday, August 29, 2017
KAMATI YA BAJETI YATEMBELEA CHUO CHA USIMAMIZI WA FEDHA (IFM)
|
Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Bajeti wakiwa kwenye kikao na
Menejimenti ya Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM) wakati walipofanya ziara kutembelea Chuo hicho.
|
Subscribe to:
Posts (Atom)


