|
| Sehemu ya wageni mbalimbali wakiwa katika Jukwaa la Wageni kutazama Mijadala ya Bunge inavyoendelea hii leo Jijini Dodoma. |
Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai akizungumza na Kaimu
Muwakilishi Mkazi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Ndugu
Natalie Bovely alipomtembelea nyumbani kwake Jijini Dodoma.
|
Katibu wa Bunge, Ndugu Stephen Kagaigai akimsikiliza Kaimu
Muwakilishi Mkazi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Ndugu Natalie
Bovely alipomtembelea ofisini kwake Jijini Dodoma.
|