WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Friday, November 17, 2023

KATIBU NENELWA AONGOZA KIKAO CHA BARAZA LA WAFANYAKAZI WA OFISI YA BUNGE JIJINI DAR ES SALAAM


















Mwenyekiti wa Baraza la Wafanyakazi ofisi ya Bunge, Ndg. Nenelwa Mwihambi, ndc ameongoza kikao cha Baraza hilo kilichopokea taarifa ya utekelezaji wa Bajeti ya mfuko wa Bunge kwa Mwaka wa Fedha 2023/2024 na taarifa ya utekelezaji wa majukumu ya idara ya utawala na rasilimali watu kwa Mwezi Julai - Septemba 2023 kilichofanyika katika hoteli na Kituo cha Mikutano cha APC Jijini Dar es Salaam.


 

Thursday, November 9, 2023

KATIBU NENELWA AFANYA MAZUNGUMZO NA NAIBU KATIBU MKUU WA CHAMA CHA MABUNGE YA JUMUIYA YA MADOLA


Katibu wa Bunge, Ndg. Nenelwa Mwihambi, ndc akizungumza na Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Mabunge ya Jumuiya ya Madola, Ndg. Jarvis Matiya alipomtembelea leo tarehe 9 Novemba, 2023 ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.

Katibu wa Bunge, Ndg. Nenelwa Mwihambi, ndc akizungumza na Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Mabunge ya Jumuiya ya Madola, Ndg. Jarvis Matiya (katikati) alipomtembelea leo tarehe 9 Novemba, 2023 ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. Kushoto ni Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uhusiano wa Kimataifa ofisi ya Bunge, Ndg. Daniel Eliufoo.

Katibu wa Bunge, Ndg. Nenelwa Mwihambi, ndc akiwa katika picha ya pamoja na Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Mabunge ya Jumuiya ya Madola, Ndg. Jarvis Matiya alipomtembelea leo tarehe 9 Novemba, 2023 ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.

Katibu wa Bunge, Ndg. Nenelwa Mwihambi, ndc akiwa katika picha ya pamoja na Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Mabunge ya Jumuiya ya Madola, Ndg. Jarvis Matiya alipomtembelea leo tarehe 9 Novemba, 2023 ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. Kulia ni Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uhusiano wa Kimataifa ofisi ya Bunge, Ndg. Daniel Eliufoo.

 Katibu wa Bunge, Ndg. Nenelwa Mwihambi, ndc akiwa katika picha ya pamoja na Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Mabunge ya Jumuiya ya Madola, Ndg. Jarvis Matiya alipomtembelea leo tarehe 9 Novemba, 2023 ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. Kulia ni Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uhusiano wa Kimataifa ofisi ya Bunge, Ndg. Daniel Eliufoo.

BUNGE LA 12, MKUTANO WA 13-KIKAO CHA 9

Tuesday, November 7, 2023

SPIKA DKT. TULIA AFANYA MAZUNGUMZO NA VIONGOZI WA BENKI YA NMB BUNGENI JIJINI DODOMA

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Mhe. Dkt. Tulia Ackson akizungumza na Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB, Ndg. Ruth Zaipuna alipomtembelea leo tarehe 7 Novemba, 2023 ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.


Spika wa Bunge na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akizungumza na Viongozi kutoka Benki ya NMB wakiongozwa na Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki hiyo, Ndg. Ruth Zaipuna walipomtembelea ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Mhe. Dkt. Tulia Ackson akipokea zawadi kutoka kwa Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB, Ndg. Ruth Zaipuna alipomtembelea leo tarehe 7 Novemba, 2023 ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.

Zawadi hiyo ni ya kumpongeza Mhe. Spika kwa kuchaguliwa kwake kuwa Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU).

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Mhe. Dkt. Tulia Ackson akiwa katika picha ya pamoja na Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB, Ndg. Ruth Zaipuna alipomtembelea leo tarehe 7 Novemba, 2023 ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.


Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Mhe. Dkt. Tulia Ackson akiagana na Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB, Ndg. Ruth Zaipuna mara baada ya mazungumzo yaliyofanyika leo tarehe 7 Novemba, 2023 ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.


Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi kutoka Benki ya NMB wakiongozwa na Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki hiyo, Ndg. Ruth Zaipuna (kulia kwake) walipomtembelea leo tarehe 7 Novemba, 2023 ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.


 

BUNGE LA 12, MKUTANO WA KUMI NA TATU-KIKAO CHA SABA