WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Monday, January 7, 2019

SPIKA AZUNGUMZIA KAULI ZA UDHALILISHAJI DHIDI YA BUNGE ZILIZOTOLEWA NA CAG NA MBUNGE HALIMA MDEE

Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (Mb), akizungumza na waandishi wa habari Jijini Dodoma kuhusu kauli za kudhalilisha Bunge zilizotolewa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG),  Profesa Mussa Assad na Mbunge wa Kawe, Mhe. Halima Mdee.
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (Mb), akizungumza na waandishi wa habari Jijini Dodoma kuhusu kauli za kudhalilisha Bunge zilizotolewa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG),  Profesa Mussa Assad na Mbunge wa Kawe, Mhe. Halima Mdee.
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (Mb), akizungumza na waandishi wa habari Jijini Dodoma kuhusu kauli za kudhalilisha Bunge zilizotolewa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG),  Profesa Mussa Assad na Mbunge wa Kawe, Mhe. Halima Mdee.
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (Mb), akizungumza na waandishi wa habari Jijini Dodoma kuhusu kauli za kudhalilisha Bunge zilizotolewa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG),  Profesa Mussa Assad na Mbunge wa Kawe, Mhe. Halima Mdee.

Tuesday, December 11, 2018

SPIKA WA BUNGE AKUTANA NA JAJI MKUU WILAYANI KONGWA

Spika wa Bunge Mheshimiwa Job Ndugai ambae pia ni mbunge wa Jimbo la Kongwa akizungumza jambo katika Kikao kilichoendeshwa na Jaji Mkuu wa Tanzania Mheshimiwa Prof. Ibrahim Hamis Juma kwa Watendaji wa Mahakama ya Wilaya ya Kongwa.

Spika wa Bunge Mheshimiwa Job Ndugai pamoja na Jaji Mkuu wa Tanzania Mheshimiwa Prof. Ibrahim Hamis Juma wakiwa katika picha ya pamoja na Watendaji mbalimbali wa Wilaya ya Kongwa.

Spika wa Bunge Mheshimiwa Job Ndugai (kulia) akijadiliana jambo na Jaji Mkuu wa Tanzania Mheshimiwa Prof. Ibrahim Hamis Juma mara baada ya Ziara ya Jaji Mkuu katika Mahakama ya Wilaya ya Kongwa.

SPIKA WA BUNGE ATEMBELEWA NA WAGENI KUTOKA NAMIBIA

Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akipokea zawadi kutoka kwa mgeni wake kutoka Nchini Namibia Ndugu Desmond Amunyela aliyemtembelea Ofisini kwake Jijini Dodoma.mgeni huyo alieleza kusudio la Namibia la kujenga Kituo cha Kimataifa Wilayani Kongwa  cha Kumbukumbu ya Kupigania uhuru wa Nchi za Kusini mwa Afrika.

Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akizungumza na mgeni wake kutoka Nchini Namibia Ndugu Desmond Amunyela aliyemtembelea Ofisini kwake Jijini Dodoma.Mgeni huyo alieleza kusudio la Namibia la kujenga Kituo cha Kimataifa Wilayani Kongwa  cha Kumbukumbu ya Kupigania uhuru wa Nchi za Kusini mwa Afrika.

Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akionyeshwa mchoro wa Kituo cha Kimataifa kitakachojengwa Wilayani Kongwa  cha Kumbukumbu ya Kupigania uhuru wa Nchi za Kusini mwa Afrika kutoka kwa Ndugu Desmond Amunyela aliyemtembelea Ofisini kwake Jijini Dodoma aliyembatana na Ndugu Iyaloo ya Nangolo wote wakitokea Nchini Namibia.

Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akiwaonyesha Ukumbi wa Bunge la Tanzania wakeni wake kutoka Nchini Namibia Ndugu Desmond Amunyela na Ndugu  Iyaloo ya Nangolo  mara baada ya kumtembelea Ofisini kwake Jijini Dodoma.wageni hao walieleza kusudio la Namibia la kujenga Kituo cha Kimataifa Wilayani Kongwa  cha Kumbukumbu ya Kupigania uhuru wa Nchi za Kusini mwa Afrika.


Friday, November 30, 2018

BENKI YA CRDB YAMKABIDHI SPIKA WA BUNGE VIFAA VYA MICHEZO KWA AJILI YA BUNGE SPORTS CLUB

Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai (katikati) akizungumza na   Mkurugenzi wa Masoko, Utafiti na Huduma kwa Wateja wa Benki ya CRDB, Bi. Tully Esther Mwambapa (wa kwanza kulia) alipofika Ofisini kwake  kumkabidhi vifaa vya michezo kwa ajili ya Bunge Sports Club.
 Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai (kulia) akipokea Jezi kutoka kwa Mkurugenzi wa Masoko, Utafiti na Huduma kwa Wateja wa Benki ya CRDB, Bi. Tully Esther Mwambapa (katikati) alipofika Ofisini kwake  kumkabidhi  vifaa vya michezo kwa ajili ya Bunge Sports Club anayeshuhudia ni Mkuu wa Huduma za Benki ya CRDB Serikalini, Benett Bankobeza (kushoto).

 Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai (kulia) akipokea Jezi kutoka kwa Mkurugenzi wa Masoko, Utafiti na Huduma kwa Wateja wa Benki ya CRDB, Bi. Tully Esther Mwambapa (katikati) alipofika Ofisini kwake  kumkabidhi  vifaa vya michezo kwa ajili ya Bunge Sports Club anayeshuhudia ni Mkuu wa Huduma za Benki ya CRDB Serikalini, Benett Bankobeza (kushoto).
Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai ( wa pili kulia) katika picha ya pamoja na Mkurugenzi wa Masoko, Utafiti na Huduma kwa Wateja wa Benki ya CRDB, Bi. Tully Esther Mwambapa (kulia),Mkuu wa Huduma za Benki ya CRDB Serikalini, Benett Bankobeza (wa pili kushoto) 

SPIKA WA BUNGE AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA BALOZI WA SWEDEN NCHINI OFISINI KWAKE JIJINI DAR ES SALAAM

Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai akizungumza na Balozi wa Sweden Nchini Mhe. Andres Sjoberg Ofisini kwake Jijini Dar es Salaam

pika wa Bunge Mhe. Job Ndugai akizungumza na Balozi wa Sweden Nchini Mhe. Andres Sjoberg Ofisini kwake Jijini Dar es Salaam

Balozi wa Sweden Nchini Mhe. Andres Sjoberg  akimueleza jambo Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai alipomtembelea Ofisini kwake Jijini Dar es Salaam
Balozi wa Sweden Nchini Mhe. Andres Sjoberg  akimueleza jambo Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai alipomtembelea Ofisini kwake Jijini Dar es Salaam


Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai katika picha ya pamoja na Balozi wa Sweden Nchini Mhe. Andres Sjoberg mara baada ya kuzungumza naye Ofisini kwake Jijini Dar es Salaam.

Thursday, November 29, 2018

SPIKA NDUGAI AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA BALOZI WA FALME ZA NCHI ZA KIARABU

 Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai akizungumza na Balozi wa Falme za Nchi za Kiarabu Mhe. Khalifa Abdulrahman  Almarzooqi alipomtembelea Ofisini kwake  Jijini Dar es Salaam.
 Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai akizungumza na Balozi wa Falme za Nchi za Kiarabu Mhe. Khalifa Abdulrahman  Almarzooqi alipomtembelea Ofisini kwake  Jijini Dar es Salaam.
Balozi wa Falme za Nchi za Kiarabu Mhe. Khalifa Abdulrahman  Almarzooqi akimuelezea jambo Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai alipomtembelea  Ofisini kwake Jijini Dar es Salaam.


 Balozi wa Falme za Nchi za Kiarabu Mhe. Khalifa Abdulrahman  Almarzooqi akimuelezea jambo Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai alipomtembelea  Ofisini kwake Jijini Dar es Salaam.

  Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai katika picha ya pamoja na Balozi wa Falme za Nchi za Kiarabu Mhe. Khalifa Abdulrahman  Almarzooqi mara baada ya kuzungumza naye Ofisini kwake Jijini Dar es Salaam.
Mazungumzo yakiendelea.