WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Wednesday, May 12, 2021

WATUMISHI WA KITUO CHA AFYA CHA BUNGE WASHEREHEKEA SIKU YA WAUGUZI DUNIANI

Watumishi wa Kituo cha Afya cha Bunge wakiwa Katika picha ya pamoja na Mkurugenzi wa Idara ya Utawala na Rasilimali Watu katika Ofisi ya Bunge, Jane Kajiru wa pili kutoka kushoto mstari wa mwisho.Watumishi hao wamefanya hafla fupi ya kuadhimisha ya Siku ya Wauguzi Duniani 
Watumishi wa Kituo cha Afya cha Bunge wakifurahi keki  pamoja na Mkurugenzi wa Idara ya Utawala na Rasilimali Watu katika Ofisi ya Bunge, Jane Kajiru wa kwanza kutoka kulia .Watumishi hao wamefanya hafla fupi ya kuadhimisha ya Siku ya Wauguzi Duniani
Mganga Mfawidhi wa Kituo cha Afya cha Bunge, Dkt. Germin Temba akizungumza katika hafla fupi ya kuadhimisha Siku ya Wauguzi Duniani iliyoandaliwa na Watumishi wa Kituo hicho, kushoto ni Mkurugenzi wa Idara ya Utawala na Rasilimali Watu katika Ofisi ya Bunge, Jane Kajiru
Mkurugenzi wa Idara ya Utawala na Rasilimali Watu katika Ofisi ya Bunge, Jane Kajiru na Mganga Mfawidhi wa Kituo cha Afya cha Bunge, Dkt. Germin Temba wakipokea maandamano ya wauguzi wa Kituo hicho katika hafla fupi ya kuadhimisha Siku ya Wauguzi Duniani

Mkurugenzi wa Idara ya Utawala na Rasilimali Watu wa katika Ofisi ya Bunge, Jane Kajiru akizungumza katika hafla fupi ya kuadhimisha Siku ya Wauguzi Duniani iliyoandaliwa na Watumishi wa Kituo cha Afya cha Bunge.

Saturday, May 8, 2021

WABUNGE WAPEWA SEMINA JUU YA LISHE KWA WATOTO WADOGO

 

Afisa Mawasiliano wa UNICEF- Tanzania Ndg. Usia Ledama akiwasilisha Mada juu ya Hali ya Watoto Tanzania katika Semina kwa Wabunge iliyofanyika kwenye Ukumbi wa Msekwa Bungeni Jijini Dodoma. 

Mjumbe wa Kamati ya Utawala na Serikali za Mitaa Mhe. Dkt. Pindi Chana akichangia jambo kwenye Semina juu ya umuhimu wa kushughulikia tatizo la upungufu wa Lishe kwa watoto wadogo. 

Sehemu ya Wajumbe wa Kamati za Huduma na Maendeleo ya Jamii, Bajeti, Masuala ya Ukimwi pamoja na Kamati ya Utawala na serikali za Mitaa wapewa Semina na UNICEF juu ya umuhimu wa kushughulikia tatizo la upungufu wa Lishwe kwa watoto wadogo. 

Friday, May 7, 2021

KAMATI YA ARDHI, MALIASILI NA UTALII PAMOJA NA KAMATI YA UTAWALA NA SERIKALI ZA MITAA YAPOKEA TAARIFA

Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi yawasilisha taaarifa ya utekelezaji wa programu ya Kupanga, Kupima na Kumilikisha Ardhi na Miradi ya Nyumba zinazojengwa na Halmashauri mbalimbali nchini kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na utalii pamoja na Kamati ya Utawala na Serikali za Mitaa leo tarehe 7 Mei katika viwanja vya Bunge Jijini Dodoma.

Kamati ya Ardhi, Maliasili na Utalii pamoja na Kamati ya Utawala na Serikali za Mitaa yapokea taarifa ya utekelezaji wa programu ya Kupanga, Kupima na Kumilikisha Ardhi na Miradi ya Nyumba zinazojengwa na Halmashauri mbalimbali nchini leo tarehe 7 Mei katika viwanja vya Bunge Jijini Dodoma.

 

Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi yawasilisha taaarifa ya utekelezaji wa programu ya Kupanga, Kupima na Kumilikisha Ardhi na Miradi ya Nyumba zinazojengwa na Halmashauri mbalimbali nchini kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na utalii pamoja na Kamati ya Utawala na Serikali za Mitaa leo tarehe 7 Mei katika viwanja vya Bunge Jijini Dodoma.


BUNGE LA 12 MKUTANO WA TATU KIKAO CHA 25 TAREHE 07.05.202




 

Wednesday, May 5, 2021

SPIKA NDUGAI AONGOZA WABUNGE KATIKA FUTARI ILIYOANDALIWA NA BENKI YA CRDB JIJINI DODOMA



Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (katikati) akizungumza na Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela (kushoto) baada ya futari iliyoandaliwa na Benki hiyo kwa Waheshimiwa Wabunge kwenye viwanja vya Bunge jijjini Dodoma,  Kulia ni Mwenyekiti wa Bodi ya Benki ya CRDB, Ndg. Ally Laay






Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (katikati) akifurahi jambo na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. William Lukuvi (kushoto) katika futari iliyoandaliwa na Benki ya CRDB kwa Waheshimiwa Wabunge kwenye viwanja vya Bunge jijjini Dodoma, Wapili kulia ni Mwenyekiti wa Bodi ya Benki ya CRDB,Ndg. Ally Laay, Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela (wapili kushoto) na Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Mustapha Rajabu.


Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai awaongoza Waheshimiwa Wabunge katika futari iliyoandaliwa na Benki ya CRDB kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma

Waheshimiwa Wabunge wakishiriki katika futari iliyoandaliwa na Benki ya CRDB kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma