WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Wednesday, October 17, 2018

MHE. SPIKA ATEMBELEWA NA WAGENI KUTOKA TAASISI YA KIMATAIFA YA KIDEMOKRASIA (NDI)




Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akisalimiana na Mkurugenzi wa Taasisi  ya Kimataifa ya Kidemokrasia (NDI) Kanda ya Mashariki na Kusini mwa Afrika, Dkt. Keith Jennings wakati Mkurugenzi huyo pamoja na baadhi ya viongozi wa Taasisi hiyo  walipomtembelea Ofisini kwake leo Jijini Dodoma.
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akimsikiliza Mkurugenzi wa Taasisi  ya Kimataifa ya Kidemokrasia (NDI) Kanda ya Mashariki na Kusini mwa Afrika, Dkt. Keith Jennings wakati Mkurugenzi huyo pamoja na baadhi ya viongozi wa Taasisi hiyo  walipomtembelea Ofisini kwake leo Jijini Dodoma.

Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akizungumza na viongozi wa Taasisi  ya Kimataifa ya Kidemokrasia (NDI), katikati ni Mkurugenzi wa Kanda ya Mashariki na Kusini mwa Afrika, Dkt. Keith Jennings na wa mwisho ni Mkurugenzi Mkazi wa Taasisi hiyo Ndg. Sandiy Quimbaya. Wageni hao walimtembelea Mhe. Spika leo Ofisini kwake Jijini Dodoma.

Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akiwa katika picha ya pamoja na  viongozi wa Taasisi  ya Kimataifa ya Kidemokrasia (NDI), kushoto kutoka kwa Mhe. Spika  ni Mkurugenzi wa Kanda ya Mashariki na Kusini mwa Afrika, Dkt. Keith Jennings na kulia ni Mkurugenzi Mkazi wa Taasisi hiyo Ndg. Sandiy Quimbaya. Wageni hao walimtembelea Mhe. Spika leo Ofisini kwake Jijini Dodoma.


Tuesday, October 16, 2018

KAMATI YA UKIMWI YAKUTANA NA MAMLAKA YA KUPAMBANA NA KUDHIBITI MADAWA YA KULEVYA NCHINI

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Masuala ya Ukimwi Mheshimiwa Oscar Mukasa akielezea jambo alipokuwa akiongoza Kikao cha Kamati hiyo kilichokutana leo Jijini Dodoma kupokea Taarifa ya Utekelezaji wa Sheria ya kupambana na Dawa za Kulevya Na. 5 ya mwaka 2015 iliyowasilishwa na Watendaji kutoka Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Madawa ya Kulevya hapa nchini wakiongozwa na Kamishna Jenerali Rogers Siyanga.
Mjumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Masuala ya Ukimwi Mheshimiwa Godfrey Mgimwa akichangia jambo katika Kikao cha Kamati hiyo kilichokutana hii leo Jijini Dodoma kupokea Taarifa ya Utekelezaji wa Sheria ya kupambana na Dawa za Kulevya Na. 5 ya mwaka 2015.
Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Masuala ya Ukimwi wakifuatilia jambo kwenye Taarifa ya Utekelezaji wa Sheria ya kupambana na Dawa za Kulevya Na. 5 ya mwaka 2015 iliyowasilishwa na Watendaji kutoka Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Madawa ya Kulevya hapa nchini wakiongozwa na Kamishna Jenerali Rogers Siyanga.
Mjumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Masuala ya Ukimwi Mheshimiwa Flatei Massay akichangia jambo katika Kikao cha Kamati hiyo kilichokutana hii leo Jijini Dodoma kupokea Taarifa ya Utekelezaji wa Sheria ya kupambana na Dawa za Kulevya Na. 5 ya mwaka 2015.

BALOZI WA TANZANIA NCHINI SWEDEN, DTK. WILLIBROD SLAA AMTEMBELEA SPIKA MHE. JOB NDUGAI NYUMBANI KWAKE JIJINI DODOMA

Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akizungumza na Balozi wa Tanzania Nchini Sweden, Dkt. Willibrod Slaa wakati Balozi huyo alipomtembelea nyumbani kwake Jijini Dodoma.

Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akifurahi jambo na Balozi wa Tanzania Nchini Sweden, Dkt. Willibrod Slaa wakati Balozi huyo alipomtembelea nyumbani kwake  Jijini Dodoma.


Friday, October 12, 2018

TAARIFA KWA UMMA KUHUSU KUANZA KWA VIKAO VYA KAMATI ZA BUNGE


MAKATIBU KAMATI WAKUTANA KUANDAA TAARIFA YA USIMAMIZI WA UTEKELEZAJI WA MALENGO YA MAENDELEO ENDELEVU

Makatibu Kamati wa Idara ya Kamati za Bunge wakifuatila jambo Kikao cha cha kuandaa Taarifa ya usimamizi wa Utekelezaji wa Malengo ya Maendeleo Endelevu (Lengo namba 9, Kipengele cha Miundombinu), Kikao hicho kilifanyika leo Ofisi za Bunge Jijini Dodoma.


Katibu Kamati Ndg. Stanslaus Kagisa akielezea jambo katika Kikao cha Makatibu Kamati kilichofanyika leo Ofisi za Bunge Jijini Dodoma kwa ajili ya kuandaa Taarifa ya usimamizi wa Utekelezaji wa Malengo ya Maendeleo Endelevu ya (Lengo namba 9, Kipengele cha Miundombinu)


Katibu Kamati Ndg. Agnes Nkwera akielezea jambo katika Kikao cha Makatibu Kamati kilichofanyika leo Ofisi za Bunge Jijini Dodoma kwa ajili ya kuandaa Taarifa ya usimamizi wa Utekelezaji wa Malengo ya Maendeleo Endelevu ya (Lengo namba 9, Kipengele cha Miundombinu)
 

Katibu Kamati Ndg. Victor Mhagama akielezea jambo katika Kikao cha Makatibu Kamati kilichofanyika leo Ofisi za Bunge Jijini Dodoma kwa ajili ya kuandaa Taarifa ya usimamizi wa Utekelezaji wa Malengo ya Maendeleo Endelevu ya (Lengo namba 9, Kipengele cha Miundombinu)