WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Saturday, February 1, 2020

SPIKA WA BUNGE AFUNGUA MPANGO WA LISHE BORA WILAYANI KONGWA

Spika wa Bunge Mheshimiwa Job Ndugai, akichangia jambo kwenye kikao kilichohudhuriwa na Wabunge wa Chama cha Wabunge Vinara wa Lishe kilicholenga kuboresha Lishe Bora Wilayani Kongwa kilichofanyika kwenye Ofisi ya Mkurugenzi wa Wilaya hiyo hii leo.

Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile akichangia jambo kwenye kikao kilichohudhuriwa na Wabunge wa Chama cha Wabunge Vinara wa Lishe kilicholenga kuboresha Lishe Bora Wilayani Kongwa kilichofanyika kwenye Ofisi ya Mkurugenzi wa Wilaya hiyo hii leo.

Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Wabunge Vinara wa Lishe Mheshimiwa Esther Matiko akichangia jambo kwenye kikao kilicholenga kuboresha Lishe Bora Wilayani Kongwa kilichofanyika kwenye Ofisi ya Mkurugenzi wa Wilaya hiyo hii leo.

Mjumbe wa Chama cha Wabunge Vinara wa Lishe Dkt Christine Ishengoma akichangia jambo kwenye kikao kilicholenga kuboresha Lishe Bora Wilayani Kongwa kilichofanyika kwenye Ofisi ya Mkurugenzi wa Wilaya hiyo hii leo.

Tuesday, January 21, 2020

KAMATI YA NISHATI NA MADINI YAKUTANA NA WIZARA YA MADINI

Waziri wa Madini , Mhe. Doto Biteko akizungumza katika kikao cha Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini kilichofanyika katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma. Wizara hiyo iliwasilisha taarifa ya upatinakaji wa fedha na utekelezaji wa majukumu katika kipindi cha nusu mwaka  pamoja na taarifa ya kuhusu hatua zilizofikiwa katika uendelezaji wa leseni katika mradi wa Liganga na Mchuchuma.

Waziri wa Madini , Mhe. Doto Biteko akizungumza katika kikao cha Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini kilichofanyika katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma. Wizara hiyo iliwasilisha taarifa ya upatinakaji wa fedha na utekelezaji wa majukumu katika kipindi cha nusu mwaka  pamoja na taarifa ya hatua zilizofikiwa katika uendelezaji wa leseni katika mradi wa Liganga na Mchuchuma. Kushoto ni Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Profesa Simon Msanjila.

Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini, Mhe. Dustan Kitandula akisisitiza jambo katika kikao cha Kamati hiyo lichofanyika Bungeni Jijini Dodoma. Kamati hiyo ilipokea taarifa ya Wizara ya Madini kuhusu upatinakaji wa fedha na utekelezaji wa majukumu katika kipindi cha nusu mwaka pamoja na taarifa ya hatua zilizofikiwa katika uendelezaji wa leseni katika mradi wa Liganga na Mchuchuma. Kulia ni Katibu wa Kamati hiyo, Ndugu Felister Mgonja.


WIZARA YA AFYA YAKUTANA NA KAMATI YA HUDUMA NA MAENDELEO YA JAMII

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mheshimiwa Ummy Mwalimu akitoa taarifa ya utekelezaji wa Bajeti ya Wizara (Fungu 52) kwa kipindi cha nusu mwaka 2019/2020 kwenye Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii hii leo Jijini Dodoma. 

Mjumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii Mheshimiwa Salma Kikwete (katikati) akichangia jambo mbele ya Kamati hiyo ilipokutana na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto kupokea taarifa ya utekelezaji wa Bajeti ya Wizara (Fungu 52) kwa kipindi cha nusu mwaka 2019/2020 hii leo Jijini Dodoma. 

Mjumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii Mheshimiwa Joseph Mbilinyi akichangia jambo mbele ya Kamati hiyo ilipokutana na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto kupokea taarifa ya utekelezaji wa Bajeti ya Wizara (Fungu 52) kwa kipindi cha nusu mwaka 2019/2020 hii leo Jijini Dodoma. 



Friday, January 17, 2020

KAMATI YA PIC YAKUTANA NA UONGOZI WA BENKI YA NMB

Mwenyekiti wa kamati ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC), Dkt. Raphael Chegeni akizungumza katika kikao cha kamati Bungeni Jijini Dodoma.kamati hiyo ilikutana na uongozi wa Benki ya NMB kwa ajili ya kupokea taarifa ya uwekezaji uliofanywa na Serikali katika Benki hiyo.


Wajumbe wa Kamati ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC), wakiwa katika kikao cha kamati Bungeni Jijini Dodoma.kamati hiyo ilikutana na uongozi wa Benki ya NMB kwa ajili ya kupokea taarifa ya uwekezaji uliofanywa na Serikali katika Benki hiyo.Pembeni yake ni Katibu wa Kamati, Elieka Saanya.

Mwenyekiti wa Bodi ya Benki ya NMB, Profesa Joseph Semboja akizungumza katika kikao cha Kamati ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC), kilichofanyika Bungeni Jijini Dodoma.kamati hiyo ilikutana na uongozi wa Benki hiyo kwa ajili ya kupokea taarifa ya uwekezaji uliofanywa na Serikali katika Benki hiyo.kushoto ni Kaimu Mkurugenzi  Ndugu Ruth Zaipuna.

Kaimu Mkurugenzi wa Benki ya NMB, Ndugu Ruth Zaipuna akizungumza katika kikao cha Kamati ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC), kilichofanyika Bungeni Jijini Dodoma.kamati hiyo ilikutana na uongozi wa Benki hiyo kwa ajili ya kupokea taarifa ya uwekezaji uliofanywa na Serikali katika Benki hiyo.Kulia ni Mwenyekiti wa Bodi ya Benki ya NMB, Profesa Joseph Semboja.


KAMATI YA NISHATI NA MADINI YAKUTANA NA TPDC

Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini wakiwa katika kikao cha kamati kilichofanyika katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma, ambapo kamati ilipokea Taarifa ya utekelezaji na hali ya upatikanaji wa fedha za maendeleo katika Kampuni ya Taifa ya Mafuta (TPDC) kwa kipindi cha nusu mwaka.


Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani akisikiliza kwa makini hoja za wabunge katika katika kikao cha kamati kilichofanyika katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma, ambapo kamati ilipokea Taarifa ya utekelezaji na hali ya upatikanaji wa fedha za maendeleo katika Kampuni ya Taifa ya Mafuta (TPDC) kwa kipindi cha nusu mwaka.kulia ni Mwanasheria  Mkuu wa Serikali, Dkt. Adelardus Kilangi.

Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini, Mhe. Dunstan Kitandula akisikiliza hoja za wajumbe katika kikao cha kamati kilichofanyika katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma, ambapo kamati ilipokea Taarifa ya utekelezaji na hali ya upatikanaji wa fedha za maendeleo katika Kampuni ya Taifa ya Mafuta (TPDC) kwa kipindi cha nusu mwaka.kulia ni Katibu wa Kamati hiyo Felister