| Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai akifurahia jambo Spika wa Baraza la Seneti la Burundi Mhe. Reverien Ndikuriyo alipomtembelea Ofisini kwake Jijini Dar es Salaam. |
Thursday, November 29, 2018
SPIKA WA BARAZA LA SENETI LA BURUNDI AMTEMBELEA SPIKA NDUGAI
Tuesday, November 27, 2018
BUNGE SPORTS CLUB YAAHIDI USHINDI MICHUANO YA EALA
Wachezaji wa mpira wa Wavu wa Bunge, (Wanaume) Mhe. Aeshi Hillary Mhe. Seif Gulamali na Mhe. David Silinde wakifanya mazoezi Uwanja wa Chuo cha Biashara CBE jijini Dodoma leo tayari kwa kushiriki michuano ya Mabunge ya Afrika Mashariki Bujumbura Burundi mapema mwezi ujao. |
Wachezaji wa Bunge Sports Club, kutoka kushotoFlatei Massay, Venance Mwamoto na Angelina Mabula wakifanya mazoezi Uwanja wa Jamhuri |
Friday, November 23, 2018
MATUKIO MBALIMBALI YA KIKAO CHA TATU CHA BUNGE LA VIJANA
Spika wa Bunge la Vijana Mhe.
Zephania Sane akiingia ukumbini tayari kwa kuanza kikao cha Bunge hilo. Mkutano
huo wa Bunge la Vijana mwaka 2018 unafanyika katika Ukumbii wa Msekwa Jijini
Dodoma.
|
Spika wa Bunge la Vijana Mhe.
Zephania Sane akiingia ukumbini tayari kwa kuanza kikao cha Bunge hilo. Mkutano
huo wa Bunge la Vijana mwaka 2018 unafanyika katika Ukumbii wa Msekwa Jijini
Dodoma.
|
Spika wa Bunge la Vijana Mhe.
Zephania Sane akiingia ukumbini tayari kwa kuanza kikao cha Bunge hilo. Mkutano
huo wa Bunge la Vijana mwaka 2018 unafanyika katika Ukumbii wa Msekwa Jijini
Dodoma.
|
Spika wa Bunge la Vijana Mhe.
Zephania Sane akiingia ukumbini tayari kwa kuanza kikao cha Bunge hilo. Mkutano
huo wa Bunge la Vijana mwaka 2018 unafanyika katika Ukumbii wa Msekwa Jijini
Dodoma.
|
Kikao cha Tatu cha Mkutano wa
Bunge la Vijana mwaka 2018 kikiendelea katika Ukumbi wa Msekwa Jijini Dodoma.
|
Wabunge wa Bunge la vijana wakiwa
wamekutana kama Kamati ya Bunge zima kwa ajili ya kupitisha Muswada. Mkutano wa Bunge la Vijana mwaka 2018 unafanyika
katika Ukumbii wa Msekwa Jijini
|
Wabunge wa Bunge la Vijana mwaka
2018 wakifuatilia hoja ndani ya Ukumbi wa Bunge
|
Wabunge wa Bunge la Vijana mwaka
2018 wakifuatilia hoja ndani ya Ukumbi wa Bunge
|
Wabunge wa Bunge la Vijana mwaka
2018 wakifuatilia hoja ndani ya Ukumbi wa Bunge
|
Wabunge wa Bunge la Vijana mwaka
2018 wakifuatilia hoja ndani ya Ukumbi wa Bunge
|
Wabunge wa Bunge la Vijana mwaka
2018 wakifuatilia hoja ndani ya Ukumbi wa Bunge
|
Wabunge wa Bunge la Vijana mwaka
2018 wakifuatilia hoja ndani ya Ukumbi wa Bunge
|
Wabunge wa Bunge la Vijana mwaka
2018 wakifuatilia hoja ndani ya Ukumbi wa Bunge
|
Wabunge wa Bunge la Vijana mwaka
2018 wakifuatilia hoja ndani ya Ukumbi wa Bunge
|
Thursday, November 22, 2018
WABUNGE WA BUNGE LA VIJANA WAENDELEA NA VIKAO KATIKA UKUMBI WA MSEKWA
Mwanasheria Mkuu wa Serikali katika Bunge la Vijana, Mhe. Shabir
Bigirwa akijibu maswali ya wabunge
wakati kikao cha Bunge la Vijana kinachoendelea katika Ukumbi wa Msekwa Jijini
Dodoma.
|
Mbunge wa Bunge la Vijana kutokea upande wa Upinzani, Mhe.
Julius Mtatiro akiuliza swali Bungeni wakati kikao cha Bunge hilo la Vijana
kinachoendelea katika Ukumbi wa Msekwa Jijini Dodoma.
|
Spika wa Bunge la Vijana, Mhe. Zephania Sane akiongoza Kikao
cha Pili cha Mkutano wa Bunge la Vijana mwaka 2018. Mkutano huo wa Bunge la
Vijana unafanyika katika Ukumbi wa Msekwa Jijini Dodoma.
|
Waziri wa Kazi na Ajira katika Bunge la Vijana, Mhe.
Victoria Ngowi akijibu swali la mbunge
wakati kikao cha Bunge la Vijana kikiendelea katika Ukumbi wa Msekwa Jijini
Dodoma.
|
Baadhi ya wabunge wa Bunge la Vijana mwaka 2018 wakifuatulia
mjadala katika Kikao cha Bunge hilo. Mkutano wa Bunge hilo la Vijana mwaka 2018
unaendelea katika Ukumbi wa Msekwa Jijini Dodoma.
|
SPIKA WA BUNGE LA VIJANA AONGOZA KIKAO CHA PILI CHA BUNGE LEO JIJINI DODOMA
| Katibu wa Bunge la Vijana Ndugu Alhoncina S. Ambrosi (mwenye koti la bluu katikati) akiwapa utaratibu waheshimiwa wabunge kabla ya kuanza kikao cha pili cha Bunge la Vijana. |
| Bunge la Vijana laendelea leo jijini Dodoma. kikao hicho kilianza mapema saa tatu kamili asubuhi katika ukumbi wa Msekwa uliopo katika viwanja vya Bunge. |
Wednesday, November 21, 2018
BALOZI WA NORWAY NCHINI TANZANIA AMTEMBELEA SPIKA WA BUNGE OFISINI KWAKE LEO
| Spika wa Bunge Mheshimiwa Job Ndugai akifurahi jambo na mgeni wake Mheshimiwa balozi wa Norway nchini Tanzania Elisabeth Jacobsen alipomtembelea ofisini kwake mapema leo hii. |
| Spika wa Bunge Mheshimiwa Job Ndugai akizungumza na mgeni wake Mheshimiwa balozi wa Norway nchini Tanzania Elisabeth Jacobsen alipomtembelea ofisini kwake mapema leo hii. |
SPIKA WA BUNGE MHE. JOB NDUGAI AFUNGUA MKUTANO WA BUNGE LA VIJANA JIJINI DODOMA
Waheshimiwa Wabunge wa Bunge la Vijana mwaka 2018 wa wakila kiapo cha utii mbele ya
Spika wa Bunge hilo la vijana, Mhe. Zaphania Sane.wengine ni Makatibu Kamati wa
Bunge hilo.
|
| Spika wa Bunge la Vijana, Mhe. Zephania Sane akiongoza Kikao cha Kwanza cha Mkutano wa Mkutano wa Bunge la Vijana mwaka 2018 unaoendelea katika Ukumbi wa Msekwa Jijini Dodoma. |
Subscribe to:
Posts (Atom)