WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Sunday, October 6, 2019

NAIBU SPIKA AFUNGUA MKUTANO MKUU WA TAIFA WA SHIRIKA LA MSALABA MWEKUNDU TANZANIA

Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akisalimiana na Rais wa Shirika la Msalaba Mwekundu (TRCS), Ndugu David Kihevile wakati alipowasili kwa ajili ya kufungua Mkutano Mkuu wa Taifa wa Shirika hilo uliofanyika katika Ukumbi wa African Dream wa Jijini Dodoma.

Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akisalimiana na viongozi mbalimbali wa Shirika la Msalaba Mwekundu (TRCS),  wakati alipowasili kwa ajili ya kufungua Mkutano Mkuu wa Taifa wa Shirika hilo uliofanyika katika Ukumbi wa African Dream wa Jijini Dodoma.

Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akifungua Mkutano Mkuu wa Taifa wa Shirika la Msalaba Mwekundu (TRCS) uliofanyika katika Ukumbi wa African Dream wa Jijini Dodoma.

Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akifungua Mkutano Mkuu wa Taifa wa Shirika la Msalaba Mwekundu (TRCS) uliofanyika katika Ukumbi wa African Dream wa Jijini Dodoma.

Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akikabidhiwa nyaraka mbalimbali za Shirika la Msalaba Mwekundu (TRCS) mara baada ya kutangazwa kuwa Mwanachama wa Maisha wa Shirika hilo. Anayemkabidhi ni Katibu Mkuu wa Shirika hilo Ndugu Julius Kejo pamoja nao ni Mjumbe wa Jinsia Ndugu Nuru Liyau. Naibu Spika alipewa uanachama huo baada ya kufungua Mkutano Mkuu wa Taifa wa Shirika hilo uliofanyika katika Ukumbi wa African Dream wa Jijini Dodoma.

Tuesday, September 3, 2019

MAKATIBU MEZANI CPA WAFANYA MKUTANO MKUU WA MWAKA

Mwenyekiti wa Chama cha Makatibu Mezani cha Mabunge ya  Nchi za Jumuiya ya Madola (SoCATT), ambaye pia ni Katibu wa Bunge la Zambia,  Ndugu Cesilia Mbewe  akizungumza katika Mkutano wa Mwaka wa chama hicho uliofanyika katika Hoteli ya Madinat Al Bahr Visiwani Zanzibar. Kulia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho, Ndugu Michael Sialai na kushoto ni Katibu Mezani wa Bunge la Zambia, Ndugu Elsio Simpamba.

Wajumbe wa  Chama cha Makatibu Mezani cha Mabunge ya Nchi za Jumuiya ya Madola (SoCATT), wakiwa katika Mkutano wa Mwaka wa chama hicho uliofanyika katika Hoteli ya Madinat Al Bahr Visiwani Zanzibar.



wajumbe wa SoCATT wakiwa katika mkutano

Sunday, September 1, 2019

KAMATI YA UTENDAJI YA CPA - KANDA YA AFRIKA YAKUTANA ZANZIBAR

Spika wa Bunge na Mwenyekiti wa Bodi ya Uwekezaji ya Chama cha Mabunge ya Nchi za Jumuiya ya Madola (CPA), Kanda ya Afrika , Mhe. Job Ndugai wa pili (kulia) akizungumza katika kikao cha Kamati ya Utendaji ya CPA, Kanda ya Afrika, anayefuata kulia kwake ni Mwenyekiti wa Kamati ya Utendaji ya CPA, Mhe. Justin Muturi, Naibu Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Mhe. Aaron Mwansa Mbulakulima, Mhe. Emilia Monjowa Lifaka, Mwenyekiti wa Kamati ya Utendaji wa Chama cha Mabunge ya Jumuiya ya Madola 

Kimataifa (CPA - INTERNATIONAL), Mhe.Elijah Okupa, 

Naibu Mweka Hazina wa CPA Kanda ya Afrika  na 

kushoto kwa Mhe. Spika ni Katibu wa CPA Kanda ya 

Afrika, Ndugu Stephen Kagaigai. kikao hicho 

kimefanyika katika Hoteli ya Madinat Al Bahr Business 

and Spa Hoteli iliyoko visiwani Zanzibar

Viongozi mbalimbali wa Chama cha Mabunge ya Jumuiya ya Madola (CPA)Kanda ya Afrika wakiwa katika kikao cha Kamati ya Utendaji ,wa kwanza kulia ni Katibu wa CPA Kanda ya Afrika, Ndugu Stephen Kagaigai, Mhe. Job Ndugai, Mwenyekiti wa Bodi ya Uwekezaji ya Chama cha Mabunge ya Nchi za Jumuiya ya Madola (CPA), Kanda ya Afrika , Mhe. Justin Muturi Mwenyekiti wa Kamati ya Utendaji ya CPA, Kanda ya Afrika, Mhe. Aaron Mwansa Mbulakulima, Naibu Mwenyekiti wa Kamati ya Utendaji ya CPA Afrika, Mhe. Emilia Monjowa Lifaka, Mwenyekiti wa Kamati ya Utendaji ya CPA Kimataifa (CPA - INTERNATIONAL) na Mhe . Elijah Okupa, Naibu Mweka Hazina wa CPA Kanda ya Afrika .Kikao hicho kimefanyika katikaa Hoteli ya Madinat Al Bahr Business and Spa Hoteli iliyoko visiwani Zanzibar

Mwenyekiti wa Kamati ya Utendaji ya Chama cha Jumuiya ya Madola (CPA) Kimataifa (CPA - INTERNATIONAL), Mhe. Emilia Monjowa Lifaka, akizungumza katika akizungumza katika kikao cha Kamati ya Utendaji ya CPA, Kanda ya Afrika, anayefuata kushoto kwake ni Mhe. Aaron Mwansa Mbulakulima, Naibu Mwenyekiti wa Kamati ya Utendaji ya CPA Afrika, Mhe. Justin Muturi Mwenyekiti wa Kamati ya Utendaji ya CPA, Kanda ya Afrika Mhe. Job Ndugai, Mwenyekiti wa Bodi ya Uwekezaji ya CPA Afrika, Ndugu Stephen Kagaigai, Katibu wa CPA Kanda ya Afrika na kushoto kulia kwa Mhe Lifaka ni Mhe . Elijah Okupa, Naibu Mweka Hazina wa CPA Kanda ya Afrika. Kikao hicho kimefanyika katika Hoteli ya Madinat Al Bahr Business and Spa Hoteli iliyoko visiwani Zanzibar


Saturday, August 31, 2019

SPIKA AONGOZA KIKAO CHA BODI YA UWEKEZAJI YA CPA KANDA YA AFRIKA

Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (katikati) akiongoza kikao cha Bodi ya Uwekezaji ya Chama cha Mabunge ya Nchi za Jumuiya ya Madola (CPA), Kanda ya Afrika kilichofanyika katika Hotel ya Manidat AL Bahr Business and Spa Hotel. Kushoto ni Mhe. Elijah Okupa Mhasibu Msaidizi na Katibu wa CPA Kanda ya ya Afrika, Ndugu Stephen Kagaigai.


Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (wa kwanza kushoto) akiongoza kikao cha Bodi ya Uwekezaji ya Chama cha Mabunge ya Nchi za Jumuiya ya Madola (CPA), Kanda ya Afrika kilichofanyika katika Hotel ya Manidat AL Bahr Business and Spa Hotel. Katikati ni Katibu wa CPA Kanda ya Afrika, Ndugu Stephen Kagaigai na Ndugu Said Yakubu Katibu Msaidizi wa CPA Afrika




Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (katikati) akiongoza kikao cha Bodi ya Uwekezaji ya Chama cha Mabunge ya Nchi za Jumuiya ya Madola (CPA), Kanda ya Afrika kilichofanyika katika Hotel ya Manidat AL Bahr Business and Spa Hotel.

NAIBU SPIKA DKT. TULIA ACKSON AKUTANA NA NAIBU SPIKA WA BUNGE LA JAMHURI YA AFRIKA YA KUSINI

Naibu Spika, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akimkaribisha Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Afrika ya Kusini, Mhe. Lechesa Tsenoli wakati walipokutana katika Hoteli ya Madinat Al Bahr Business and Spa. Viongozi hao wapo visiwani Zanzibar kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa 50 wa Mabunge ya Nchi za Jumuiya ya Madola (CPA), Kanda ya Afrika.

Naibu Spika,Mhe.  Dkt. Tulia Ackson akizungumza na Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Afrika ya Kusini, Mhe. Lechesa Tsenoli katika Hoteli ya Madinat Al Bahr Business and Spa. Viongozi hao wapo visiwani Zanzibar kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa 50 wa Mabunge ya Nchi za Jumuiya ya Madola (CPA), Kanda ya Afrika.
 Naibu Spika, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akiwa pamoja na Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Afrika ya Kusini, Mhe. Lechesa Tsenoli wakifurahia dafu wakati walipotembelea shamba la viungo (Spice farm)  visiwani Zanzibar. Viongozi hao wapo visiwani humo kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa 50 wa Mabunge ya Nchi za Jumuiya ya Madola (CPA), Kanda ya Afrika.

 Naibu Spika, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akipewa zawadi ya bangili wakati yeye na Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Afrika ya Kusini, Mhe. Lechesa Tsenoli walipotembelea shamba la viungo (Spice farm)  visiwani Zanzibar. Viongozi hao wapo visiwani humo kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa 50 wa Mabunge ya Nchi za Jumuiya ya Madola (CPA), Kanda ya Afrika.
Naibu Spika,Mhe.  Dkt. Tulia Ackson pamoja na Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Afrika ya Kusini, Mhe. Lechesa Tsenoli wakitazama viungo mbalimbali wakati walipotembelea shamba la viungo (Spice farm)  visiwani Zanzibar. Viongozi hao wapo visiwani humo kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa 50 wa Mabunge ya Nchi za Jumuiya ya Madola (CPA), Kanda ya Afrika.

Friday, August 30, 2019

SPIKA WA BUNGE, MHE.JOB NDUGAI AWASILI ZANZIBAR

Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai amewasili Uwanja wa Ndege wa Zanzibar kwa ajili ya kuhudhuria Mkutano wa 50 wa Mabunge ya Nchi za Jumuiya ya Madola (CPA), Kanda ya Afrika, katikati ni Mwenyekiti wa CPA Tawi la Zanzibar, Mhe. Simai Mohammed Said na Katibu wa CPA Kanda ya Afrika, Ndugu Stephen Kagaigai. Mkutano huo utaanza Agosti 30 hadi Septemba 5, 2019 katika Hoteli ya Madinat Al Bahr Business and Spa.

Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai amewasili Uwanja wa Ndege wa Zanzibar kwa ajili ya kuhudhuria Mkutano wa 50 wa Mabunge ya Nchi za Jumuiya ya Madola (CPA), Kanda ya Afrika, katikati ni Mwenyekiti wa CPA Tawi la Zanzibar, Mhe. Simai Mohammed Said na Katibu wa CPA Kanda ya Afrika, Ndugu Stephen Kagaigai. Mkutano huo utaanza Agosti 30 hadi Septemba 5, 2019 katika Hoteli ya Madinat Al Bahr Business and Spa.

Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai amewasili Uwanja wa Ndege wa Zanzibar kwa ajili ya kuhudhuria Mkutano wa 50 wa Mabunge ya Nchi za Jumuiya ya Madola (CPA), Kanda ya Afrika, katikati ni Mwenyekiti wa CPA Tawi la Zanzibar, Mhe. Simai Mohammed Said na Katibu wa CPA Kanda ya Afrika, Ndugu Stephen Kagaigai. Mkutano huo utaanza Agosti 30 hadi Septemba 5, 2019 katika Hoteli ya Madinat Al Bahr Business and Spa.

SPIKA WA BUNGE LA LESOTHO AWASILI ZANZIBAR KUHUDHURIA MKUTANO WA CPA

Spika wa Bunge la Lesotho, Mhe. Sephiri Enoch Motanyane akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Zanzibar na kupokelewa na Maafisa Itifaki wa Bunge la Tanzania kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa 50 wa Mabunge ya Nchi za Jumuiya ya Madola (CPA), Kanda ya Afrika utakaofanyika tarehe 30 Agosti hadi tarehe 5 Septemba mwaka huu katika Hoteli ya Madinat Al Bahr Business and Spa 

Spika wa Bunge la Lesotho, Mhe. Sephiri Enoch Motanyane akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Zanzibar.
Spika wa Bunge la Lesotho, Mhe. Sephiri Enoch Motanyane akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Zanzibar Chumba cha mapumziko na wenyeji wake.