WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Thursday, September 15, 2022

SPIKA DKT. TULIA AFANYA MAZUNGUMZO NA MABALOZI WA NCHI ZA UMOJA WA ULAYA BUNGENI JIJINI DODOMA

Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akizungumza na Balozi wa Umoja wa Ulaya, Mhe. Manfredo Fanti pale ugeni kutoka Mabalozi wa Nchi za Umoja wa Ulaya walipomtembelea leo tarehe 15 Septemba, 2022 Bungeni Jijini Dodoma.



Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akizungumza na Mabalozi wa Nchi za Umoja wa Ulaya wakiongozwa na Balozi wa Umoja huo, Mhe. Manfredo Fanti (kulia kwake) walipomtembelea leo tarehe 15 Septemba, 2022 Bungeni Jijini Dodoma.


Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akionyesha zawadi ya vitabu alivyopewa na Balozi wa Umoja wa Ulaya, Mhe. Manfredo Fanti pale ugeni wa Mabalozi wa Nchi za Umoja wa Ulaya walipomtembelea leo tarehe 15 Septemba, 2022 Bungeni Jijini Dodoma.



Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akiwa katika picha ya pamoja na Mabalozi wa Nchi za Umoja wa Ulaya wakiongozwa na Balozi wa Umoja huo, Mhe. Manfredo Fanti (kulia kwake) walipomtembelea leo tarehe 15 Septemba, 2022 Bungeni Jijini Dodoma.

Wednesday, September 14, 2022

SPIKA DKT. TULIA AFANYA MAZUNGUMZO NA NAIBU SPIKA WA PILI WA BUNGE LA GHANA, KIONGOZI WA UPINZANI BUNGE LA UGANDA

Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akisalimiana na Naibu Spika wa Pili wa Bunge la Ghana, Mhe. Andrew Amoako pale Wageni kutoka Bunge hilo walipomtembelea leo tarehe 14 Septemba, 2022 Bungeni Jijini Dodoma.


Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akizungumza na Naibu Spika wa Pili wa Bunge la Ghana, Mhe. Andrew Amoako pale Wageni kutoka Bunge hilo walipomtembelea leo tarehe 14 Septemba, 2022 Bungeni Jijini Dodoma.


Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akizungumza na Wageni kutoka Bunge la Ghana wakiongozwa na Naibu Spika wa Pili wa Bunge, Mhe. Andrew Amoako (kulia kwake) walipomtembelea leo tarehe 14 Septemba, 2022 Bungeni Jijini Dodoma.


Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akimpatia zawadi yenye mfano wa jengo la Bunge Naibu Spika wa Pili wa Bunge la Ghana, Mhe. Andrew Amoako pale Wageni kutoka Bunge hilo walipomtembelea leo tarehe 14 Septemba, 2022 Bungeni Jijini Dodoma.


Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akizungumza na Kiongozi wa Upinzani kutoka Bunge la Uganda, Mhe. Mpuuga Mathias pale Waheshimiwa Wabunge kutoka Bunge hilo walipomtembelea leo tarehe 14 Septemba, 2022 Bungeni Jijini Dodoma.


Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akizungumza na Waheshimiwa Wabunge kutoka Bunge la Uganda wakiongozwa na Kiongozi wa Upinzani wa Bunge, Mhe. Mpuuga Mathias (kulia kwake) walipomtembelea leo tarehe 14 Septemba, 2022 Bungeni Jijini Dodoma.


Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akiwa katika picha ya pamoja na Kiongozi wa Upinzani kutoka Bunge la Uganda, Mhe. Mpuuga Mathias pale Waheshimiwa Wabunge kutoka Bunge hilo walipomtembelea leo tarehe 14 Septemba, 2022 Bungeni Jijini Dodoma.



Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Waheshimiwa Wabunge kutoka Bunge la Uganda wakiongozwa na Kiongozi wa Upinzani wa Bunge, Mhe. Mpuuga Mathias (kulia kwake) walipomtembelea leo tarehe 14 Septemba, 2022 Bungeni Jijini Dodoma.

Tuesday, September 13, 2022

SPIKA DKT. TULIA AMUAPISHA MHE. TAMIM HAJI ABASS


Mbunge Tamima Haji Abass akiapa kiapo cha uaminifu mbele ya Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson wakati wa Mkutano wa Nane Kikao cha kwanza cha Bunge leo tarehe 13 Septemba, 2022 Bungeni Jijini Dodoma. Kushoto ni Katibu wa Bunge, Ndg. Nenelwa Mwihambi

Monday, September 12, 2022

SPIKA DKT. TULIA AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA UONGOZI JIJINI DODOMA






Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akiongoza kikao cha kamati ya uongozi kilichopokea na kujadili Shughuli za Mkutano wa Nane wa Bunge pamoja na Mapendekezo ya Ratiba ya Mkutano huo leo tarehe 12 Septemba, 2022 katika Ukumbi wa Spika Bungeni Jijini Dodoma. Kushoto kwake ni Katibu wa Bunge, Ndg. Nenelwa Mwihambi na Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Mussa Azzan Zungu




Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Mussa Azzan Zungu akisoma maelezo ya Spika kwa niaba ya Spika Dkt. Tulia Ackson wakati wa kikao cha kamati ya uongozi kilichopokea na kujadili Shughuli za Mkutano wa Nane wa Bunge pamoja na Mapendekezo ya Ratiba ya Mkutano huo leo tarehe 12 Septemba, 2022 katika Ukumbi wa Spika Bungeni Jijini Dodoma.




Katibu wa Bunge, Ndg. Nenelwa Mwihambi akishiriki kikao cha kamati ya uongozi kilichopokea na kujadili Shughuli za Mkutano wa Nane wa Bunge pamoja na Mapendekezo ya Ratiba ya Mkutano huo leo tarehe 12 Septemba, 2022 katika Ukumbi wa Spika Bungeni Jijini Dodoma.



Wajumbe wa kamati ya uongozi wakiwa katika kikao cha kamati hiyo kilichopokea na kujadili Shughuli za Mkutano wa Nane wa Bunge pamoja na Mapendekezo ya Ratiba ya Mkutano huo leo tarehe 12 Septemba, 2022 katika Ukumbi wa Spika Bungeni Jijini Dodoma. Kuanzia kushoto ni Mhe. Joseph Mhagama, Mhe. Najma Giga na Mhe. David Kihenzile



Wajumbe wa kamati ya uongozi wakiwa katika kikao cha kamati hiyo kilichopokea na kujadili Shughuli za Mkutano wa Nane wa Bunge pamoja na Mapendekezo ya Ratiba ya Mkutano huo leo tarehe 12 Septemba, 2022 katika Ukumbi wa Spika Bungeni Jijini Dodoma.


 

Friday, September 9, 2022

SPIKA DKT. TULIA MGENI RASMI HAFLA YA UTOAJI WA ZAWADI KWA WASHINDI WA INSHA YA KUPINGA NDOA NA MIMBA ZA UTOTONI


Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, akisalimiana na Naibu Waziri Ofisi ya Rais, TAMISEMI (Afya), Mhe. Dkt. Festo Dugange wakati alipowasili katika hoteli ya St. Gasper Jijini Dodoma leo tarehe 9 Septemba, 2022 katika hafla ya utoaji wa zawadi kwa washindi wa Insha ya Kupinga Ndoa na Mimba za Utotoni. Wapili kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Mhe. Rosemary Senyamule, Mwenyekiti wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii, Mhe. Stanslaus Nyongo (kulia) na Mwenyekiti wa Bodi wa Shirika la World Vision Tanzania, Dkt. Diana Mndeme




Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akizungumza jambo wakati wa hafla ya utoaji wa zawadi kwa washindi wa Insha ya Kupinga Ndoa na Mimba za Utotoni iliyofanyika leo tarehe 9 Septemba, 2022 katika Ukumbi wa Mikutano wa St. Gasper Jijini Dodoma.



Naibu Waziri Ofisi ya Rais, TAMISEMI (Afya), Mhe. Dkt. Festo Dugange akizungumza jambo wakati wa hafla ya utoaji wa zawadi kwa washindi wa Insha ya Kupinga Ndoa na Mimba za Utotoni iliyofanyika leo tarehe 9 Septemba, 2022 katika Ukumbi wa Mikutano wa St. Gasper Jijini Dodoma.



Wanafunzi Mbalimbali walioshiriki katika zoezi la uandishi wa insha wakiwa katika hafla ya utoaji wa zawadi kwa washindi wa Insha ya Kupinga Ndoa na Mimba za Utotoni iliyofanyika leo tarehe 9 Septemba, 2022 katika Ukumbi wa Mikutano wa St. Gasper Jijini Dodoma.

 

Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, akimkabidhi mfano wa hundi ya Shillingi Million 1 Mwanafunzi Genoveva Mwakihwaja aliyeibuka Mshindi wa kwanza katika hafla ya utoaji wa zawadi kwa washindi wa Insha ya Kupinga Ndoa na Mimba za Utotoni iliyofanyika leo tarehe 9 Septemba, 2022 katika Ukumbi wa Mikutano wa St. Gasper Jijini Dodoma. Kulia ni Naibu Waziri Ofisi ya Rais, TAMISEMI (Afya), Mhe. Dkt. Festo Dugange 



 Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi Wakuu kutoka Shirika la World Vision Tanzania na Wadau wa Maendeleo wakati wa hafla ya utoaji wa zawadi kwa washindi wa Insha ya Kupinga Ndoa na Mimba za Utotoni iliyofanyika leo tarehe 9 Septemba, 2022 katika Ukumbi wa Mikutano wa St. Gasper Jijini Dodoma. Kulia kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Mhe. Rosemary Senyamule, Naibu Waziri Ofisi ya Rais, TAMISEMI (Afya), Mhe. Dkt. Festo Dugange (kushoto kwake), Mwenyekiti wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii, Mhe. Stanslaus Nyongo (kulia) na Mwenyekiti wa Bodi wa Shirika la World Vision Tanzania, Dkt. Diana Mndeme (wapili kulia)

Thursday, September 8, 2022

WAJUMBE KAMATI YA PAC WAPOKEA MAELEZO KUHUSU MAJUKUMU YA OFISI YA MKAGUZI MKUU WA NDANI WA SERIKALI, WACHAMBUA TAARIFA YA HESABU ZILIZOKAGULIWA NA EWURA


Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), Mhe. Naghenjwa Kaboyoka akiongoza kikao cha kamati hiyo kilichokaa na Kupokea maelezo kuhusu majukumu ya ofisi ya Mkaguzi Mkuu wa Ndani wa Serikali katika udhibiti wa matumizi ya fedha za Umma, Kupitia na kuchambua Taarifa ya Hesabu zilizokaguliwa za Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA) kilichofanyika leo tarehe 8 Septemba, 2022 katika ofisi za Bunge Jijini Dodoma. Kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa kamati hiyo, Mhe. Japhet Hasunga

Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), Mhe. Naghenjwa Kaboyoka (katikati) akiongoza kikao cha kamati hiyo kilichokaa na kupokea maelezo kuhusu majukumu ya ofisi ya Mkaguzi Mkuu wa Ndani wa Serikali katika udhibiti wa matumizi ya fedha za Umma, Kupitia na kuchambua Taarifa ya Hesabu zilizokaguliwa za Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA) kilichofanyika leo tarehe 8 Septemba, 2022 katika ofisi za Bunge Jijini Dodoma.

Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA), Prof. Mark Mwandosya akijitambulisha mbele ya kamati ya kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) wakati wa kikao cha kamati hiyo kilichokaa na kupokea maelezo kuhusu majukumu ya ofisi ya Mkaguzi Mkuu wa Ndani wa Serikali katika udhibiti wa matumizi ya fedha za Umma, Kupitia na kuchambua Taarifa ya Hesabu zilizokaguliwa za Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA) leo tarehe 8 Septemba, 2022 katika ofisi za Bunge Jijini Dodoma. Kushoto ni Mkurugenzi wa Petroli EWURA, Ndg. Gerald Maganga na Mkurugenzi wa Fedha, Utawala na Rasiliamali Watu EWURA, Ndg. Stanley Mahembe.



Mjumbe wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), Mhe. Isack Kamwelwe akichangia jambo wakati wa kikao cha kamati hiyo kilichokaa na kupokea maelezo kuhusu majukumu ya ofisi ya Mkaguzi Mkuu wa Ndani wa Serikali katika udhibiti wa matumizi ya fedha za Umma, Kupitia na kuchambua Taarifa ya Hesabu zilizokaguliwa za Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA) leo tarehe 8 Septemba, 2022 katika ofisi za Bunge Jijini Dodoma.



Wajumbe wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) wakiwa katika kikao cha kamati hiyo kilichokaa na kupokea maelezo kuhusu majukumu ya ofisi ya Mkaguzi Mkuu wa Ndani wa Serikali katika udhibiti wa matumizi ya fedha za Umma, Kupitia na kuchambua Taarifa ya Hesabu zilizokaguliwa za Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA) leo tarehe 8 Septemba, 2022 katika ofisi za Bunge Jijini Dodoma.





 

Tuesday, September 6, 2022

NAIBU SPIKA ZUNGU AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA SPIKA WA BUNGE LA WAWAKILISHI LA UFALME WA MOROCCO JIJINI RABAT.





Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Mussa Azzan Zungu akizungumza na Spika wa Bunge la Wawakilishi la Ufalme wa Morocco, Mhe. Rachid Talbi Alami katika kikao kilichofanyika leo tarehe 6 Septemba, 2022 katika Ofisi za Bunge hilo Jijini Rabat Nchini Morocco.

Mazungumzo hayo yalijikita kuimarisha Uhusiano wa Kibunge baina ya Mabunge ya nchi hizo pamoja na kuimarisha Ushirikiano wa kiuchumi ikiwemo kilimo.

Mhe. Spika yupo nchini Morocco kwa zaiara ya kikazi ya siku 5.


Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Mussa Azzan Zungu akimpatia zawadi Spika wa Bunge la Wawakilishi la Ufalme wa Morocco, Mhe. Rachid Talbi Alami alipomtembelea leo tarehe 6 Septemba, 2022 Ofisini kwake Jijini Rabat Nchini Morocco.


Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Mussa Azzan Zungu akiagana na Spika wa Bunge la Wawakilishi la Ufalme wa Morocco, Mhe. Rachid Talbi Alami baada ya mazungumzo yaliyofanyika leo tarehe 6 Septemba, 2022 katika Ofisi za Bunge hilo Jijini Rabat Nchini Morocco.

Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Mussa Azzan Zungu akiongozana na Spika wa Bunge la Wawakilishi la Ufalme wa Morocco, Mhe. Rachid Talbi Alami baada ya mazungumzo yaliyofanyika leo tarehe 6 Septemba, 2022 katika Ofisi za Bunge hilo Jijini Rabat Nchini Morocco.